Je ni kweli skendo ndio kiki kubwa inayowabeba wasanii wa bongo movie & bongo fleva?

Je ni kweli skendo ndio kiki kubwa inayowabeba wasanii wa bongo movie & bongo fleva?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Jamani hivi kweli kuwa wanamziki au wacheza filamu hawawezi kutoka bila ya kupata au kutengeneza skendo yoyote ili kuweza kufahamika kwa haraka? Inasemekana kuwa skendo ndio kiki kubwa zinazowatoa wasanii wetu.

Ushahidi upo wazi tumewaona na tunaendelea kuwaona wasanii wetu wakipata skendo wengine wanazitengeneza wao wenyewe,kuna baadhi wametoka na maskendo ya kuchukua waume za watu, kuchukua wake za watu,kupiga picha za utupu,nk.

Hizi wanazitumia kama kiki za kutokea na kujulikana zaidi,je kwa nini wanatumia maskendo kuwatoa? unadhani kwa nini je hawawezi kutumia uwezo wao? Anayejua atujulishe kwa kina
.
 
Hivi unajua maana ya news alert?
 
kwani unahusika katika hii mada au?

Doesn't matter nahusika au sihusiki, lakini katika kukuweka sawa tu, news alert inatumika katika kuleta habari ambazo ni mpya / zimeingia hivi punde / habari ambazo watu wengi hazijawafikia au unaweza kusema breaking news. Ukitaka kujua ndio uzingatie, kama unataka tu kubishana endelea.
 
doesn't matter nahusika au sihusiki, lakini katika kukuweka sawa tu, news alert inatumika katika kuleta habari ambazo ni mpya / zimeingia hivi punde / habari ambazo watu wengi hazijawafikia au unaweza kusema breaking news. Ukitaka kujua ndio uzingatie, kama unataka tu kubishana endelea.

nimekupata
 
Kama hivi... chezea endless love
 

Attachments

  • 1428943818930.jpg
    1428943818930.jpg
    39.5 KB · Views: 299
hello again

kwani umejaribu njia zipi umeshindwa? ili nikumwagie njia nzuri na utajulikana tu...kwanza acha wivu wa wengine yaani kutaka washuke bora wivu wa maendeleo mtu ukiwa unajishughulisha kuendelea pia, kuwa wewe, matusi no no pia, na kutokuwa muoga kuuliza kitu unachotaka kujua au kujifunza ili upande juu kama kudhani utadharaurika au utachekwa au ....

haya nambie
 
Bongo movie ilisha kufa kwa hiyo unayo yasema ndio mambo pekee wanayo weza.
 
Back
Top Bottom