Je, ni kweli Tamisemi hawatahusika tena na ajira za Ualimu?

Je, ni kweli Tamisemi hawatahusika tena na ajira za Ualimu?

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Hiki ni kitu ambacho kinaniumiza kichwa kufahamu kwakuwa hakuna taarifa maalumu ya kwamba Tamisemi hawatahusika na hizi ajira za Ualimu

Hili linatia mashaka baada ya siku za nyuma kutangazwa ajira za Ualimu kupitia sekretarieti ya ajira na utumishi wa umma na ikahitajika waalimu kujisajili katika mfumo wa ajira portal ili kupata nafasi ya kuomba kazi hizo kitu ambacho ni kigeni na kipya katika ajira za Ualimu kwani tulizoea kuona hizi ajira zikitangazwa na Tamisemi na kwa mfumo wao wa OTEAS ambao tulikuwa tunatuma kwenye shule sio kwenye mkoa

Je, mifumo ndo imebadilika au ni vipi?
 
Mifumo imebadilika, sasa hivi kila Kada inayoomba ajira portal itapaswa kufanyiwa Interview... Hivyo waalimu na watu wa Afya sasa hivi ni mwendo wa Interview kama kada zingine.

Jiandae kwa Interview
 
Mifumo imebadilika, sasa hivi kila Kada inayoomba ajira portal itapaswa kufanyiwa Interview... Hivyo waalimu na watu wa Afya sasa hivi ni mwendo wa Interview kama kada zingine.

Jiandae kwa Interview
 
Back
Top Bottom