Je, ni kweli TAMISEMI imefuta Ajira za Walimu walioajiliwa wenye Ngazi ya Diploma?

Je, ni kweli TAMISEMI imefuta Ajira za Walimu walioajiliwa wenye Ngazi ya Diploma?

Alfred_station_A

New Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
3
Reaction score
1
Habarini ndugu
Naomba nifikishe hili suala maana nina wasiwasi sana na Ajira yangu mpaka sasa kwasababu nilisubiri sana mpaka kuipata.

Siku ya Jumamosi tarehe 19 Dec nilipokea simu kutoka kwa Afisa Ajira wilaya ya Tandahimba (kwa mujibu alivojitambulisha), akisema kua Ajira yangu imesitishwa kwakua mimi nina ngazi ya Diploma ( postgraduate).

Nimeisha fanya taratibu zote za ku ripoti katika shule niliopangiwa nimejaza kila kitu na form zote na kufuata maelekezo yote tangu tarehe 7 Desemba.

Naomba kufahamu kuhusu ukweli wa Taarifa hii nduu zangu kwani nachanganyikiwa. Asante
 
Habarini ndugu
Naomba nifikishe hili swala maana nina wasiwasi sana na Ajira yangu mpaka sasa kwasababu nilisubiri sana mpaka kuipata.

Siku ya Jumamosi tarehe 19 Dec nilipokea simu kutoka kwa Afisa Ajira wilaya ya Tandahimba (kwa mujibu alivojitambulisha), akisema kua Ajira yangu imesitishwa kwakua mimi nina ngazi ya Diploma ( postgraduate).

Nimeisha fanya taratibu zote za ku ripoti katika shule niliopangiwa nimejaza kila kitu na form zote na kufuata maelekezo yote tangu tarehe 7 Desemba.

Naomba kufahamu kuhusu ukweli wa Taarifa hii nduu zangu kwani nachanganyikiwa. Asante

Umesomea ualimu...?

Tuanzie hapo kwanza....
Hapana mkuu, dada yangu ndiyo kasomea ualimu ss alipata hii taarifa jumamosi ameniomba nimuulizie kama ni taarifa ya kweli au la!!
 
Mkuu ni kipi unaongelea? Diploma in secondary education, diploma in primary,diploma in nursery au post graduate diploma,maana bandiko lako lina diploma lakini maudhui yanaeleza habari za post graduate diploma


Hebu weka mambo sawa ili wadau wakusaidie mkuu
 
Kwa mujibu wa maelezo ya huyo Afisa muajiri ni kwamba " Postgraduate diploma in education " ndio ajira zimehairishwa ikiwemo na dada yangu ambae pia amesoma kitu hicho postgraduate diploma in education.
 
Kaa tulia halafu nyoosha maelezo!.. diploma ipi? na hakuna Afsa Ajira kuna Afsa utumishi ndo Anashughulika na issue ya Ajira
 
Habarini ndugu
Naomba nifikishe hili suala maana nina wasiwasi sana na Ajira yangu mpaka sasa kwasababu nilisubiri sana mpaka kuipata.

Siku ya Jumamosi tarehe 19 Dec nilipokea simu kutoka kwa Afisa Ajira wilaya ya Tandahimba (kwa mujibu alivojitambulisha), akisema kua Ajira yangu imesitishwa kwakua mimi nina ngazi ya Diploma ( postgraduate).

Nimeisha fanya taratibu zote za ku ripoti katika shule niliopangiwa nimejaza kila kitu na form zote na kufuata maelekezo yote tangu tarehe 7 Desemba.

Naomba kufahamu kuhusu ukweli wa Taarifa hii nduu zangu kwani nachanganyikiwa. Asante
Afisa ajira ndo nani?
 
ndio mkuu nilifuta kabisa baada ya kufikiria sana
 
Mkuu ni kipi unaongelea? Diploma in secondary education, diploma in primary,diploma in nursery au post graduate diploma,maana bandiko lako lina diploma lakini maudhui yanaeleza habari za post graduate diploma


Hebu weka mambo sawa ili wadau wakusaidie mkuu

Naona kwa uelewa wake anadhani Diploma ni Kiswahili ila Kiingereza chake ni Postgraduate, ni kama kule Kigoma unamsikia mtu nimemaliza chuo nina Stahashada na Diploma au nina Astahashada na Certificate
 
Back
Top Bottom