Je, ni kweli tangu mwezi Machi serikali haijatuma fedha za fidia ya Ada mashuleni?

Je, ni kweli tangu mwezi Machi serikali haijatuma fedha za fidia ya Ada mashuleni?

Seth seth

Senior Member
Joined
Jan 2, 2022
Posts
106
Reaction score
150
Kama Hali iko hivo bila shaka Elimu Bure ilishafutwa kimyakimya.
 
Serikali haina pesa pesa nyingi zinatumika kwenye ziara ya mh Rais Korea nk hapa kesho anaondoka tena anaenda ulaya kwaiyo nyie shule vumilieni mama amalize zunguka ulaya, pia wanafunzi vyuo vikuu nyie kuhusu boom na nyie subilieni mama amalize zunguka dunia

Haya mtoa mada unayemdai mwambie akulipe mwezi March walilipwa hao fedha ambazo hawajapewa ni mwezi April na May 2024
 
Hata miradi ya batabara za mitaa Dar hususani Temeke kiwango cha rami/zege zinasua sua, wanachodanganya toto ni kupitisha greda na kutimua vumbi ndio imetoka hiyo. Mbunge wa Mbagala Chaurembo aliwaambia baadhi ya mitaa itamaliziwa kuwekewa zege kuanzia April 2024, Wakaweka na mabango ya miradi kando ya hizo barabara.

Mpaka leo hora! juzi likapita greda likatimua vumbi likasepa. Tunakusubiri 2025 mbunge weye. Nilimtuma mwenyekiti wa mtaa akuletee taarifa ya ahadi yako sijui kakuletea
 
Usikute mama yenu anatumia mali za DANGANYIKA kuchezea mchezo, subirini jina lake litoke kwa kijumbe atawapa hela zote 😂
 
Back
Top Bottom