[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji16]Endelea kuosha sahani na kukomba mboga kwa dada yako..siku jua likizama, utajua ata mwanaume huolewa mjini..empty set!
Jamani kwani hamuoni badge hapo juu “NEW MEMBER”!!!Napenda niende moja kwa moja kwenye mada yangu napenda kuuliza jaman wana jf ni kweli ule msemo wa ujana ni maji ya moto upo vp huo msemo...