JE NI KWELI UJENZI HUU NI SULUHISHO LA NYUFA KATIKA NYUMBA?

JE NI KWELI UJENZI HUU NI SULUHISHO LA NYUFA KATIKA NYUMBA?

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Wadau wa ujenzi hasa mafundi na mainjinia wa ujenzi huyu jamaa ktk kupiga ripu kaanza na wire meshi eti inazuia nyumba kuchanika (nyufa). Je hiki kitu ni kweli na nisahihi kufanya hivi.
 
Sahii kabisa,

Nyufa nyingi hasa sehem ya madirisha utokana na kutanuka au kusinyaa Kwa chuma/ubao uliotumia kwny dirisha

Na nyufa hizi Hata ukibomoa Huwa haziusiani na ukuta, Bali plaster/lipu iliyopigwa
 
Sahii kabisa,

Nyufa nyingi hasa sehem ya madirisha utokana na kutanuka au kusinyaa Kwa chuma/ubao uliotumia kwny dirisha

Na nyufa hizi Hata ukibomoa Huwa haziusiani na ukuta, Bali plaster/lipu iliyopigwa
Hapa suluhisho ni kufanyaje ili hizo nyufa zisijitokeze, maan huyu katumia wire mesh. Na je zile nyufa za ndani ya ukuta wire meshi inaweza kusaidia?
 
Inategemea ufa wa aina gani,
Kuna nyufa hazidhibitiki kwa namna yoyote zaidi ya marekebisho makubwa ikibidi ya kubomoa kabisa.
 
Hapa suluhisho ni kufanyaje ili hizo nyufa zisijitokeze, maan huyu katumia wire mesh. Na je zile nyufa za ndani ya ukuta wire meshi inaweza kusaidia?
Suluhisho Ni lile lile,
Kama ufa ushajitokeza, bomoa Kisha pachika roll ya wire mesh kwny ufa na chapia.
 
Hapa suluhisho ni kufanyaje ili hizo nyufa zisijitokeze, maan huyu katumia wire mesh. Na je zile nyufa za ndani ya ukuta wire meshi inaweza kusaidia?
Cha Kwanza bomoa ufa ujue je uko ktk ndani ya ukuta au Ni plaster TU.

Kama ni ukuta,
pachika kipande Cha nondo na chapia

Kama ni plaster, pachika wire mesh na chapia
 
Suluhisho ni kutengeneza joints kati ya tofali na tofali bila kuunga na mortar kwenye maeneo ya madirisha..
 
Back
Top Bottom