phantomnation
Member
- Jun 8, 2022
- 58
- 106
Habariii za humu wana Jamii, Mara nyingi nimekutana na uzi nyingi sana mfano Kama uzi wa Analyse INSIDER MAN humu na watu kadhaa wakisema kwamba eti ukiwa katika harakati za kutafuta maisha na ukawa na mwenza/mke wako mmojaa katika utafutajii na kwa rehema za mwenyezi mungu ukazipata mali.
Je, ni kweliii pale endapo utakua umefanikiwa unaanza kumnyanyasa na kumuacha huyo mwenza wako uliekua nae katika usakaji na baada ya kuzipata ukamuona si kitu na kumuacha ni kweliii kuna uwezekano wa kufirisika au kuzipoteza hizo mali?
Je, ni kweliii pale endapo utakua umefanikiwa unaanza kumnyanyasa na kumuacha huyo mwenza wako uliekua nae katika usakaji na baada ya kuzipata ukamuona si kitu na kumuacha ni kweliii kuna uwezekano wa kufirisika au kuzipoteza hizo mali?