Je, ni kweli ukinunua bidhaa kupitia Kikuu online unaletewa mzigo mpaka mahali ulipo?

Je, ni kweli ukinunua bidhaa kupitia Kikuu online unaletewa mzigo mpaka mahali ulipo?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Habari wakuu,

Kwa wanaonunua kikuu jee ni kweli wanadeliver hadi ulipo?

Vipi shipping yao inachukua siku ngap?

Jee wakideliver had ulipo wanakuchaji?
 
Wana deliver lakini utakachopokea ni tofauti kabisa na wanachokuwa wamekuonesha kwenye picha..

Nilioneshwa picha ya Boonge la Mtreni Wa kuchezea watoto, kwenye Picha wameweka mtoto yuko ndani ya hilo Treni. Ila nilivyonunua nikakutana na vitakataka mfano Wa Treni hata kwenye kiganja cha Mtoto mchanga hakajai..

Swimming Pools niliambiwa dimensions ni 210*130*60cm ila nilichopokea ni kidude kina 120*70*30cm. Hata ukilalamika hawanaga ushirikiano kabisa.
 
Shipping yao huchukua not more than 40 Days. Delivery Kwa Dar sikulipia..

Trade at your own risk lakini.
 
Unapata uhakika ila ukikiona cha kwenye picha kikubwa usishangae ukaletewa cha size ndogo
 
Wana deliver lakini utakachopokea ni tofauti kabisa na wanachokuwa wamekuonesha kwenye picha..

Nilioneshwa picha ya Boonge la Mtreni Wa kuchezea watoto, kwenye Picha wameweka mtoto yuko ndani ya hilo Treni. Ila nilivyonunua nikakutana na vitakataka mfano Wa Treni hata kwenye kiganja cha Mtoto mchanga hakajai..

Swimming Pools niliambiwa dimensions ni 210*130*60cm ila nilichopokea ni kidude kina 120*70*30cm. Hata ukilalamika hawanaga ushirikiano kabisa.
Mkoba ukiuona unasema yes..ukija sasa...ni vile vya watoto wa sekondari au wanaita vinainai vikoba vya watoto shule ya msing kbs.sijui why
 
Aiseee
Wana deliver lakini utakachopokea ni tofauti kabisa na wanachokuwa wamekuonesha kwenye picha..

Nilioneshwa picha ya Boonge la Mtreni Wa kuchezea watoto, kwenye Picha wameweka mtoto yuko ndani ya hilo Treni. Ila nilivyonunua nikakutana na vitakataka mfano Wa Treni hata kwenye kiganja cha Mtoto mchanga hakajai..

Swimming Pools niliambiwa dimensions ni 210*130*60cm ila nilichopokea ni kidude kina 120*70*30cm. Hata ukilalamika hawanaga ushirikiano kabisa.
 
Mimi nilibahatika kupata kile nilichokuwa nakitaka kwa wakati ule, delivery kwa Dar ilikuwa bure sijui mikoani na ilikuwa inachukua siku 30 kupata mzigo wako,.ila baada ya kuona watu wanalalamika kupokea vitu tofauti na walichokiona nikaacha kwa hofu,.
 
Kikuu labda uchukue radio na Tv hivyo vingine sijui nguo na takataka zingine utaletewa saizi ya watu wengine? Mkuu acha
 
Niliona flash moja hivi nikajitungua. Wakanitumia kinyume na nilichoomba, mi niliagiza 128GB wao wakanipa 64GB, kuwacheck watsap hadi leo sijajibiwa ila sasa flash yenyewe hata miezi mitatu haijaisha ikadondoka chini na ikafa hapo hapo. Sikushauri mkuu ufanye nao biashara.
 
Kikuu nimenunua sana viatu zamani. Siku hizi wana disappoint sana. Nilimnunulia mtoto kibag kimefika yani hata lunch box haikai wakati vipimo wameweka wenyewe
 
Habari wakuu,

Kwa wanaonunua kikuu jee ni kweli wanadeliver hadi ulipo?

Vipi shipping yao inachukua siku ngap?

Jee wakideliver had ulipo wanakuchaji?
Wanaleta mpka mtaani kwako, kuwa makini tu kwenye kuchagua bidhaa pia pitia reviews za watu juu ya bidhaa husika usikurupuke..
Kingine usipende vitu cheap, kanuni ni moja siku zote cheap ni expensive.

Mpka sasa naendelea kuwatumia na napata vile vile nilivyoagiza ndani ya 15 days tu.
 
Back
Top Bottom