Elections 2010 Je, ni kweli ukombozi wetu bado?

Konakali

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
1,533
Reaction score
266
Kwa kweli adui, UJINGA bado unatukaba koo na hivyo ukombozi wetu bado ni mbali; Nasikitika sana watanzania kuonesha kwa vitendo kukubaliana na kauli zifuatazo:

  1. Wanaopata mimba na ukimwi ni viherehere...!
  2. Watumishi wa umme, bora mbayuwayu...!
  3. Lowasa, mramba..., ni wachapakazi na ni watu safi!
  4. Elimu bure haiwezekani...!
  5. Sizungumzi na watumishi, hadi wapate ngeu...!
  6. Ushindi kwa CCM ni lazima, na wala si ridhaa ya watanzania...!
  7. Wazee wastaafu, wamwagiwe tindikali, maji ya kuwasha...!
  8. nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…