Je ni kweli usa dollar huwa ina expire yaani kuisha muda wake?

Je ni kweli usa dollar huwa ina expire yaani kuisha muda wake?

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,255
wakuu habari! kuna ubishi hapa jamaa amejiwekea ndani dola za marekani 17000 zina miaka mitatu sasa anataka kwenda ku-change ametokea jamaa amemwambia kuwa dola ya marekani huwa ikikaa mwaka mmoja bila kuwekwa benki huwa ina expire sasa ndugu yangu anahaha, je ni kweli au jamaa ana wivu
 
Duh,kweli mjini shule,Jamaa hakuna kitu kama hicho,huyo Jamaa muongo ananchotaka ni kwamba ampige changa la macho asepe nazo au ampatie exchange Rate mbaya ili yeye apate faida.

Ila kama pesa ni ya mwaka chini ya 2000 kwa badhi ya Banks wanasumbua ila kama ni ku change basi unapata exchange Rate ndogo ila kwa tofauti ndogo sana,ila Barclays wao jembe la shamba wanachukua zozote
 
Duh,kweli mjini shule,Jamaa hakuna kitu kama hicho,huyo Jamaa muongo ananchotaka ni kwamba ampige changa la macho asepe nazo au ampatie exchange Rate mbaya ili yeye apate faida.

Ila kama pesa ni ya mwaka chini ya 2000 kwa badhi ya Banks wanasumbua ila kama ni ku change basi unapata exchange Rate ndogo ila kwa tofauti ndogo sana,ila Barclays wao jembe la shamba wanachukua zozote

sasa mkuu wanajuaje kama hii pesa ni ya mwaka 2000 au chini ya hapo?
 
huu uzi wa madolali, si wa shilingi, wacha tupite kimya kimya.:israel:
 
Hahahhahahaha

Kadanganywa unless ni niti ya mwaka 1999 kushuka chini
 
sikumbuki exactly lakini dollar zikiwa za miaka ya nyuma kidogo inasumbuwa sana kuchange, mimi naijuwa bureau de change moja ipo mtaa wa zanaki inaitwa sun city wao wanachukuwa zote hawana matatizo.

bado sijaelewa hasa sababu halisi za hii kadhia.
 
Miaka imeandikwa kabisa na ajitahidi abadilishe fasta apewe za kuanzia 2006 na kuendelea....vinginevyo atapata nazo shida kama zitakuwa za miaka ya nyuma sana
 
kaka manyerere ni za mwaka mchanganyiko zipo za 2005,2007,na za 2010 jamaa alikuwa anajikusanyia kwa watalii hapa ruaha national park

Hizo zinatumika kabisaa bila wasiwasi,tatizo alionyesha wajanja na sijui kama mwenye pesa hizo sio dem,maana kuweka pesa mpaka kufikia kiasi hichi cha Dollars 17,000 ambazo ni sawa na miloni 28 sio mchezo kwa mwanaume.
na Rafiki huyo aliekuambia kuwa zimekwisha muda wake basi hafai kuwa rafiki kabisaa na ni hatari sana.

Ila kuwa makini sana huyo jamaa aliekudanganya anaweza kufanya issue akamtumia Majambazi,cha msingi kama ana account bank basi a change hizo pesa na kuweka Bank siku hiyo hiyo,na kama hana basi afungue account na aziweke.
Ninavyojua mie kwa uzoefu wa Ma Bank ni kwamba kama atakwenda siku hiyo na hizo pesa na kumueleza Manager basi anaweza kumfungulia Account ya haraka then processes nyingine ndogo zitamaliziwa.

Akitaka nimpe milioni 26 anitafute(ila kiwango halisi cha thamani ya pesa yake ni milioni 28)
 
Hizo zinatumika kabisaa bila wasiwasi,tatizo alionyesha wajanja na sijui kama mwenye pesa hizo sio dem,maana kuweka pesa mpaka kufikia kiasi hichi cha Dollars 17,000 ambazo ni sawa na miloni 28 sio mchezo kwa mwanaume.
na Rafiki huyo aliekuambia kuwa zimekwisha muda wake basi hafai kuwa rafiki kabisaa na ni hatari sana.

Ila kuwa makini sana huyo jamaa aliekudanganya anaweza kufanya issue akamtumia Majambazi,cha msingi kama ana account bank basi a change hizo pesa na kuweka Bank siku hiyo hiyo,na kama hana basi afungue account na aziweke.
Ninavyojua mie kwa uzoefu wa Ma Bank ni kwamba kama atakwenda siku hiyo na hizo pesa na kumueleza Manager basi anaweza kumfungulia Account ya haraka then processes nyingine ndogo zitamaliziwa.

Akitaka nimpe milioni 26 anitafute(ila kiwango halisi cha thamani ya pesa yake ni milioni 28)

Ni mimi hapa nitumie hiyo 26M kwenye akaunti yangu 01j000000000 ukishatuma ni pm ili na mm nikuletee hizo usd
 
Duh,kweli mjini shule,Jamaa hakuna kitu kama hicho,huyo Jamaa muongo ananchotaka ni kwamba ampige changa la macho asepe nazo au ampatie exchange Rate mbaya ili yeye apate faida.

Ila kama pesa ni ya mwaka chini ya 2000 kwa badhi ya Banks wanasumbua ila kama ni ku change basi unapata exchange Rate ndogo ila kwa tofauti ndogo sana,ila Barclays wao jembe la shamba wanachukua zozote

Njoo na ya 1996 uone kama tutaipokea, barclays hatuchukui zote mwisho 2000
 
Hizo zinatumika kabisaa bila wasiwasi,tatizo alionyesha wajanja na sijui kama mwenye pesa hizo sio dem,maana kuweka pesa mpaka kufikia kiasi hichi cha Dollars 17,000 ambazo ni sawa na miloni 28 sio mchezo kwa mwanaume.
na Rafiki huyo aliekuambia kuwa zimekwisha muda wake basi hafai kuwa rafiki kabisaa na ni hatari sana.

Ila kuwa makini sana huyo jamaa aliekudanganya anaweza kufanya issue akamtumia Majambazi,cha msingi kama ana account bank basi a change hizo pesa na kuweka Bank siku hiyo hiyo,na kama hana basi afungue account na aziweke.
Ninavyojua mie kwa uzoefu wa Ma Bank ni kwamba kama atakwenda siku hiyo na hizo pesa na kumueleza Manager basi anaweza kumfungulia Account ya haraka then processes nyingine ndogo zitamaliziwa.

Akitaka nimpe milioni 26 anitafute(ila kiwango halisi cha thamani ya pesa yake ni milioni 28)

aisee ndugu nakushuru sana kwa kutuondolea wasiwasi sasa naimani mambo yatakwenda sawa ngoja twende backlays au exim
 
Kikawaida noti chakavu (mutilated bills) ili zikubalike kwenye remittance either inside(BOT shs) or outside(USA $) kawaida inatakiwa iwe full bundle(i.e 100pieces)
Hivyo banks nyingi hawapokei noti hizi zikiwa pungufu kwa kuhofia kukaa nazo muda mrefu mpaka zitimie bundle zima ila km mteja umekuja na noti mia za kila quotation hakuna bank itakayokataa kuchukua hizo hela hasa ukipeleka banks kubwa km standard chartered ambao hufanya frequent direct cash remittance to/fro USA.
 
Back
Top Bottom