Mandison
Senior Member
- Mar 10, 2017
- 191
- 110
Nimefuatilia mazungumzo ya RC Dar kuhusu kuwataka wauza magari kuhamia Kigamboni eneo la Kibada kwa maelezo kuwa wanapatiwa viwanja bure.
Hiyo itakuwa ni hatua nzuri ukizingatia ameahidi mbele Taasisi ya Sekta binafsi kuwa barabara za lami zitajengwa.
Ninachopenda kupata ufafanuzi ni kwamba;
(1) Hivyo viwanja vinatolewa na serikali?
(2) Wamiliki wa hizo showrooms watakabidhiwa hati miliki baada ya kupewa hivyo viwanja?
(3) Je, kuna mmiliki yeyote wa showroom ya magari ambaye ameshafuatilia kwa RC ili kupewa hivyo viwanja?
Hiyo itakuwa ni hatua nzuri ukizingatia ameahidi mbele Taasisi ya Sekta binafsi kuwa barabara za lami zitajengwa.
Ninachopenda kupata ufafanuzi ni kwamba;
(1) Hivyo viwanja vinatolewa na serikali?
(2) Wamiliki wa hizo showrooms watakabidhiwa hati miliki baada ya kupewa hivyo viwanja?
(3) Je, kuna mmiliki yeyote wa showroom ya magari ambaye ameshafuatilia kwa RC ili kupewa hivyo viwanja?