Je, ni kweli Vumbi la Kongo linaongeza nguvu wakati wa kufanya mapenzi?

Mbishi 4 real

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
640
Reaction score
651
Habari waungwana,

Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisikia vijana wengi wakizungumzia kuhusu vumbi la Kongo kwamba inaongeza pulinge pindi unapokutana na mpenzi wako kwenye kupeana raha za dunia.

Je, ni kweli Vumbi ya Kongo ni kiboko ya kuongeza pulinge au ni maneno tu ya watu, na kama kweli je inapatikana maeneo gani kwa hapa Dar es Salaam?

Wazoefu naomba mnijuze.
 
Nasikia Mkuu wengine wanaita kifuko Mkuu
 
kaka hyo kitu noma sana mm ni shuhuda nilikaa km lisaa napiga mfululizo bila kukojo,yaan mmmh unaeza ukakesh mpk asubh bila kuchoka baadae takutumia namba ya mshkaj aliyeniuzia,nilimpata humuhumu

Fanya hivo braza
 
Aaah si tuko bize na vumbi ya bongo
kutoka buzwagi na bulyanhulu
[HASHTAG]#Happy[/HASHTAG] AnniversaryToMeInJF
 
Reactions: Ftc
Tatizo, nimeona wakongo fulani wanasema hiyo vumbi ukiizoea tu rungu yako haitaweza kuua hata sisimizi bila kulishwa hiyo vumbi.

Yaani rungu inakuwa tegemezi tena inakufa kabisa .

Kwa hiyo, itumieni tu matokeo na mrejesho wake utaujua mwenyewe baada ya miaka miwili ijayo.

Hata kukojoa mkojo wa kawaida utakuwa huwezi.

Endeleeni ivyo hivyo, matokeo mtayaona na mtafurahia hadi kukojoreshwa kama vitoto vidogo vya mwaka mmoja.
 


Nasikia hata gundi pia ni poa....unakunywa gundi kabla ya gegedo kuongeza nguvu.
 
Satisfy with ur dick man you cant handle the consequence of it.
God created you for a special purpose!
 
kaka hyo kitu noma sana mm ni shuhuda nilikaa km lisaa napiga mfululizo bila kukojo,yaan mmmh unaeza ukakesh mpk asubh bila kuchoka baadae takutumia namba ya mshkaj aliyeniuzia,nilimpata humuhumu
Weaknessssss kwann usitumie nguvu zako za asili? Yan mpaka ubust??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…