Je, ni kweli wabunge wa Chadema waliohamia CCM ni wale " laini laini" ambao hawajawahi kukaa jela au kulala polisi?

Je, ni kweli wabunge wa Chadema waliohamia CCM ni wale " laini laini" ambao hawajawahi kukaa jela au kulala polisi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Niko na bwashee Kavishe hapa ananiambia wabunge wote wa Chadema waliohamia CCM ni wale soft soft ambao hawajawahi kuwekwa mahabusu wala kulala polisi kwa sababu za kisiasa.

Bado natafakari lakini kwa haraka nakumbuka Mwita Waitara amewahi kulala mahabusu kwa siku kadhaa.

Wengine ......Ole milya sikumbuki

Dr Mollel........sikumbuki

Mwambe............sikumbuki

Ryoba...........sikumbuki

Ukerewe.........sikumbuki

Babati............huyu mama kama aliwahi kulala ndani wakati fulani.

Anyway nadhani data za Kavishe zina walakini au ndio yale maneno ya mkosaji.
Cheche za Waitara enzi zake zilikuwa si za kitoto halafu useme hajawahi kutiwa msukosuko na kutupwa ndani?......hiyo nakataa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Niko na bwashee Kavishe hapa ananiambia wabunge wote wa Chadema waliohamia CCM ni wale soft soft ambao hawajawahi kuwekwa mahabusu wala kulala polisi kwa sababu za kisiasa.

Bado natafakari lakini kwa haraka nakumbuka Mwita Waitara amewahi kulala mahabusu kwa siku kadhaa.

Wengine ......Ole milya sikumbuki

Dr Mollel........sikumbuki

Mwambe............sikumbuki

Ryoba...........sikumbuki

Ukerewe.........sikumbuki

Babati............huyu mama kama aliwahi kulala ndani wakati fulani.

Anyway nadhani data za Kavishe zina walakini au ndio yale maneno ya mkosaji.
Cheche za Waitara enzi zake zilikuwa si za kitoto halafu useme hajawahi kutiwa msukosuko na kutupwa ndani?......hiyo nakataa.

Maendeleo hayana vyama!
Waitara amefanya kurudi kwao hana jipya nami nakubaliana na mtoa kwamba kwamba ni kweli lainilaini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko na bwashee Kavishe hapa ananiambia wabunge wote wa Chadema waliohamia CCM ni wale soft soft ambao hawajawahi kuwekwa mahabusu wala kulala polisi kwa sababu za kisiasa.

Bado natafakari lakini kwa haraka nakumbuka Mwita Waitara amewahi kulala mahabusu kwa siku kadhaa.

Wengine ......Ole milya sikumbuki

Dr Mollel........sikumbuki

Mwambe............sikumbuki

Ryoba...........sikumbuki

Ukerewe.........sikumbuki

Babati............huyu mama kama aliwahi kulala ndani wakati fulani.

Anyway nadhani data za Kavishe zina walakini au ndio yale maneno ya mkosaji.
Cheche za Waitara enzi zake zilikuwa si za kitoto halafu useme hajawahi kutiwa msukosuko na kutupwa ndani?......hiyo nakataa.

Maendeleo hayana vyama!
Yohana mwambie Kavishe kulala jela au kupigwa virungu mpaka ukatenguliwa kiuno sio alama kwamba wewe ni mzalendo mwanaharakati.Inategemea umewekwa ndani kwa sababu ipi! Unaweza ukalala ndani ukitafuta umaarufu kwa mambo ya kijinga na ukavunjwa mikono. Kama kuingia restricted area kibabe kibabe.
Lakini Dk Mollel ni mzalendo wa kweli maana alidiriki kuweka wazi kuwa Chadema ndio chama kilichopanga njama na kumshambulia Tundu Lissu na kumsababishia ulemavu.
Pia aliasema hiki chama kina makundi ya kigaidi ambayo kuna kipindi yalilipua bomu kwenye mkutano wa Chadema na watu wakaumia na kufariki. Nia ni kuichafua serikali.
Sasa hivi wanasingizia serikali kwenye tukio la Lissu na Dk Mollel aliwaumbua. Tena bungeni na kila mtu alisikia na mpaka leo hawajakanusha.
 
Basi kumbe humjui vizuri yule wala sio mwanachama wa siku nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unamjua vizuri. Lakini wasiojulikana anawajua vizuri. Sikiliza kwa umakini, maana nia yenu ni kuichafua serikali bila sababu
 

Attachments

Yohana mwambie Kavishe kulala jela au kupigwa virungu mpaka ukatenguliwa kiuno sio alama kwamba wewe ni mzalendo mwanaharakati.Inategemea umewekwa ndani kwa sababu ipi! Unaweza ukalala ndani ukitafuta umaarufu kwa mambo ya kijinga na ukavunjwa mikono. Kama kuingia restricted area kibabe kibabe.
Lakini Dk Mollel ni mzalendo wa kweli maana alidiriki kuweka wazi kuwa Chadema ndio chama kilichopanga njama na kumshambulia Tundu Lissu na kumsababishia ulemavu.
Pia aliasema hiki chama kina makundi ya kigaidi ambayo kuna kipindi yalilipua bomu kwenye mkutano wa Chadema na watu wakaumia na kufariki. Nia ni kuichafua serikali.
Sasa hivi wanasingizia serikali kwenye tukio la Lissu na Dk Mollel aliwaumbua. Tena bungeni na kila mtu alisikia na mpaka leo hawajakanusha.


Dr. Mollel na atubu kwa UONGO ALIOONGOPA.

HUKUMU YAJA.
 
Back
Top Bottom