Salaam,
Kuna binti aliwahi nambia, wanawake hawana tamaa kama wanaume coz wao ni selective sana linapokuja suala la mahusiano.
Alinambia, mwanamke kwa mwaka anaweza pokea order 100 hadi 1000 za mitongozo bt kua wao ni selective ktk order hizo akabahatika 1/2/3/hapana kabisa.
Akanambia kwa jinsi wanaume tulivyo na tamaa ya kuonja karibu kila sketi inayokatiza mbele yetu, tungepata order hizo anaamini kizazi cha kiume kingeshatoweka.
Je ni kweli wanawake hawana tamaa kama wanaume?
Kuna binti aliwahi nambia, wanawake hawana tamaa kama wanaume coz wao ni selective sana linapokuja suala la mahusiano.
Alinambia, mwanamke kwa mwaka anaweza pokea order 100 hadi 1000 za mitongozo bt kua wao ni selective ktk order hizo akabahatika 1/2/3/hapana kabisa.
Akanambia kwa jinsi wanaume tulivyo na tamaa ya kuonja karibu kila sketi inayokatiza mbele yetu, tungepata order hizo anaamini kizazi cha kiume kingeshatoweka.
Je ni kweli wanawake hawana tamaa kama wanaume?