Je, ni kweli wanawake ni wabahili kiasili au ni chimbuko la utandawazi?

Tupeane mawazo pevu maana hali inazidi kuwa mbaya kimaisha..kuna familia zinafika wanawake hata pesa ya mboga ni ngumu kuchangia ila kwenye vipodozi, urembo binafsi na michango ya familia yake yuko mstari wa MBELE!!
 
Au wanaume wanajituma zaidi bila kushirikishana na wenza wao kuhusu matumizi hadi kufikia Wanawake kujitoa!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…