Wa halii ya juuLabda huko kwao zimbabwe wana ubaguzi naona sio tatizo kabisa
We haya mapenzi ya usanii ya kipindii hii
inachagua uliyosema na zaidi...
hahaha...i used to think on the same lines...
Kwa nini wewe leo usimpende huyo msichana uliyekutana naye njiani?
am talkin of true luv here..!
Wengi wa wazungu ni wakweli, akipenda amependa akikuchoka haendelei kukudanganya anakuomba talaka, hii ni njzuri sana na hisi mama zao wanawafunza tangu wako tumboni kuhusu uaminifukuna thread humu ndani inatuonya wanaume wabongo tusipokuwa makini na 'serious' dada zetu wote watachukuliwa na wazungu. so mi naona wabongo (mademu) ni favourites ya wazungu kulkiko wazimbabwe(?). nadhani ni chemistry za watu. wapo waafrika (weusi) wenye kupenda races nyingine na vice versa.
Wengi wa wazungu ni wakweli, akipenda amependa akikuchoka haendelei kukudanganya anakuomba talaka, hii ni njzuri sana na hisi mama zao wanawafunza tangu wako tumboni kuhusu uaminifu
mhh...i beg to differ. Msiwasifie sana wazungu maana namna hii ndio mnajishusha na kujiona inferior. Vitu vyote wanaofanya wao na sisi tunafanya, na vice versa...
kuna wazungu kibao hawaombi talaka, nk na wanaendelea na ufuska. Usifanye generalisation hata siku moja.
hahahahahahaha lol
acha vichekesho embu
hamna lolote msijisifie for nothing..
( even tho i like African men)
lakini wazungu wanajua kupenda
na mzungu akikuchoka ni talaka
wengi wakicheat wanakwambia..