Sio kweli. Manake vile vijamaa vina mbio ile mbaya! Huko kujiswafi kunaweza kupunguza kwa kiasi kidogo sana kupata ujauzito.
Halafu ukumbuke kujiswafi hakuzuii ukimwi. Uepuke ngono nzembe eeh!
Afu umesahau kumuuliza yuko darasa la ngapi....... unazeeka vibaya ujue....:A S-coffee:Sio kweli. Manake vile vijamaa vina mbio ile mbaya! Huko kujiswafi kunaweza kupunguza kwa kiasi kidogo sana kupata ujauzito.
Halafu ukumbuke kujiswafi hakuzuii ukimwi. Uepuke ngono nzembe eeh!
Nawa na maji ya betri au petrol lita moja
Landala, Labda kama akiwa ana nawa kwa sabuni baada tu ya kumaliza. Somehow soap kama colloid yaweza kuwa slow hao jamaa. Lakini sio 100%. Best ni kutumia kinga.
Nawa na maji ya betri au petrol lita moja
yaani mie nangaika kutia mimba nyie mnangaika namna ya kuzuia mimba..
yaani mie nangaika kutia mimba nyie mnangaika namna ya kuzuia mimba..