Je, ni lazima shairi liimbike?

I LOVE GIRLS

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2020
Posts
857
Reaction score
1,323
Nawasalimu wana jf, leo nimekuja na hii dhana ya Ushairi kwa mujibu wa

Sheikh Amri Abed Kaluta:
"shairi ni wimbo hivyo kama shairi haliimbiki shairi hilo halina maana"

Je, dhana hii bado ina nafasi katika uga wa sasa wa ushairi ambao umeendele sana?

Karibuni kwa michango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…