bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,796
Habari wanajamvi,
Ningependa kujua ni lini ile sheria ya kua kila kampuni ya kibiashara ambayo inataka kuwekeza katika sekta yoyote ni lazima ipewe miaka kadhaa ili baadae ndio ianze kulipa kodi hasa kampuni hizi za kigeni? je hatuoni kwamba tunapoteza hela nyingi sana ambazo zingesaidia kununua vyandarua kuliko kutegemea Wamarekani waje watusaidie? kuongeza madawa mahospitalini na kuwatibu wazee na wanawake wajawazito bure?
Yafuatayo ni baadhi tu ya makampuni ambayo yamewai kubadilisha majina;ZAIN-AIRTEL, KILIMANJARO KEMPISK,MOVIN PICKna mengineyo .
"ili nchi yoyote iendelee ni lazima kuwepo na uongozi bora, ardhi, watu na siasa safi" mwl Julius Nyerere
Ningependa kujua ni lini ile sheria ya kua kila kampuni ya kibiashara ambayo inataka kuwekeza katika sekta yoyote ni lazima ipewe miaka kadhaa ili baadae ndio ianze kulipa kodi hasa kampuni hizi za kigeni? je hatuoni kwamba tunapoteza hela nyingi sana ambazo zingesaidia kununua vyandarua kuliko kutegemea Wamarekani waje watusaidie? kuongeza madawa mahospitalini na kuwatibu wazee na wanawake wajawazito bure?
Yafuatayo ni baadhi tu ya makampuni ambayo yamewai kubadilisha majina;ZAIN-AIRTEL, KILIMANJARO KEMPISK,MOVIN PICKna mengineyo .
"ili nchi yoyote iendelee ni lazima kuwepo na uongozi bora, ardhi, watu na siasa safi" mwl Julius Nyerere