Je, ni lita ngapi za petroli kwa gari toka Dar - Sumbawanga?

Je, ni lita ngapi za petroli kwa gari toka Dar - Sumbawanga?

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau Watalaamu wa Magari naomba kuuliza Je Kwa Gari aina ya Harrier inaweza kutumia lita ngapi za Mafuta ya Petrol kutoka Dar mpaka Sumbawanga Umbali wa Kilomita 1250?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kama vipi Kula vichwa njiani upoze machungu ya mafuta lkn kitendo cha kupiga hesabu za mafuta Hilo achana nalo kumbuka njiani kuna mambo mengi...
 
Wadau Watalaamu wa Magari naomba kuuliza Je Kwa Gari aina ya Harrier inaweza kutumia lita ngapi za Mafuta ya Petrol kutoka Dar mpaka Sumbawanga Umbali wa Kilomita 1250?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ungetuambia pia namna ya uendeshaji wako maana consumption ya mafuta pia inachangia na spidi yako,unataka rpm mwsho ngap isome,brake zako je n za mara kwa mara,
Hvyo vinachangia kujua utatumiaje mafuta mfano,ukipiga spidi 120 max,rpm below 4 na hutokuwa na hali ya brake za mara kwa mara utatumia mafuta machache
 
Fafanua vizuri ni Harrier ya mwaka gani, ukubwa wa engine yake, ili tuweze kukusadia.
Nyongeza:
Ulaji mwingi wa mafuta kwenye Magari unategemea na mambo mengi sana kwenye gari.
Kifupi kwenye Harrier(haswa za 2005-2008 n.k), kinachofanya gari hii kutumia mafuta zaidi ya magari mengine yenye ukubwa sawa wa Engine CC ni udogo wa Gear Box yake, yaani ina gear 4 tu wakati huo huo ina speed 180km/Hr. Kwaiyo ECU yake inahold gear moja kwa sekunde nyingi sana yaani kuna muda ili uweze kugain speed. Pia unaweza ukawa upo kwenye speed ya 50 - 70 Km/Hr halafu upo kwenye Gear namba 3 yaani mpaka ufikie hiyo gear namba 4 wakati huo huo gari inaspeed ya 180 Km/Hr ulaji wake wa mafuta unakua mkubwa sana wakati huo.
 
Back
Top Bottom