Je? ni maandiko yapi au vitabu vipi vinaruhusu mapapa au mapadri kutokuoa na masister kutokuolewa?

Je? ni maandiko yapi au vitabu vipi vinaruhusu mapapa au mapadri kutokuoa na masister kutokuolewa?

juliusJr

Senior Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
180
Reaction score
61
Habarini wana javin habarini za mchana bila shaka wengine weekend imeanza na wengine majukumu yanaendelea.....!!!
Kama mada inavosomeka hapo juu nimekua nikijiuliza hili swali pasipokua na majibu labda wanajamvi wa intelligence mnaweza changia kwa hoja zenye kujinga mno

Kwa kuanza nihitaji kujua je ni sahihi PAPA au PADRI kutokuoa wakati biblia kupitia baazi ya funuo zake zinatuhimiza kuijaza dunia au ulimwengu kupitia ndoa vile vile kwa hawa wanitwa WATAWA au MASISTER je ni sahihi kwa wao kutokuo?.Ukilinganisha na matukio mbali mbali yanayofanya na hawa viongozi kurawiti watoto na kufanya mambo yasiyojenga kwa hao watoto au kondoo wanao wachunga.Tumeskia baadhi ya kesi kua wamewabaka watoto na kuwafanyia vitendo ambavo sio vyema.Je ni sheria ambazo wanaziweka wenyewe au ni ujumbe kutoka kwa MUNGU kwamba wao wasioe wala kuolewa na kama ni sheria zao kwanini hawazisimamii na kuzitimiza?.
Actually kuna mkanganyiko juu ya hawa viongozi kwenye dini napenda kuwasilisha na kupokea maoni yenye kujenga kwa jamii zima ya intelligence napenda kutanguliza shukran zangu....Ahsanteni[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Jifunze Kureason, Kuna vitu vingine vipo Theological na kifalsafa zaidi, Kwani Yesu ambaye ndiye Mume wa Kanisa Alioa? kama Hakuoa unaweza Usioe vivo hivo Mtume Paulo alisema kama mnaweza Kudhibiti tamaa za Mwili ni vema na Msioe mtumikieni Bwana Mungu Wenu!
 
Kuna vifungo vinaeleza wazi kabisa kwa ajili ya utukufu Wa mungu sio lazima kuoza wana na kuozesha wanawali. Kasome biblia vizuri
 
Hakuna maandiko yanayosema Padre asioe au Sister asiolewe, hata maaskofu hawajazuiiwa kuoa(kulingana na maandiko), na sio lazima kuoa pia.
1 Timothy 3:2-12 King James Version (KJV)
2 A bishop then must be blameless, the husband of one wife, vigilant, sober, of good behaviour, given to hospitality, apt to teach;
3 Not given to wine, no striker, not greedy of filthy lucre; but patient, not a brawler, not covetous;
4 One that ruleth well his own house, having his children in subjection with all gravity;
5 (For if a man know not how to rule his own house, how shall he take care of the church of God?)
6 Not a novice, lest being lifted up with pride he fall into the condemnation of the devil.
 
Ni wakatoliki tu ,wakristu wengine mapaster na maaskofu wanaoa . Kulikoni ?? Kinachoniacha hoi hakuna anaeweza ila tu itangazwe rasmi waoe . Wanawake wanaobaki kwa kutokuoa kwao ni chukizo mbele ya Mungu .
 
Kuna vifungo vinaeleza wazi kabisa kwa ajili ya utukufu Wa mungu sio lazima kuoza wana na kuozesha wanawali. Kasome biblia vizuri
Kama Kuna vifungo hivyo na waliviapa kwanini mapadri kila siku Ni kesi Tena za kulawiti...Ina maana hawayaamini maandiko yao wenyewe....
 
Jifunze Kureason, Kuna vitu vingine vipo Theological na kifalsafa zaidi, Kwani Yesu ambaye ndiye Mume wa Kanisa Alioa? kama Hakuoa unaweza Usioe vivo hivo Mtume Paulo alisema kama mnaweza Kudhibiti tamaa za Mwili ni vema na Msioe mtumikieni Bwana Mungu Wenu!
Ulitakiwa kujibu "kwanini mapadri/masista" hawaoi. Kwa nini (hao) hawaoi?
 
Sheria ya kusema mapadri wasioe au masista kuolewa haina utofauti na enzi za biashara za utumwa kwamba kama unafanya kazi kwa mzungu ni lazima wakuhasi ili usiwe na tamaa mke wake.
 
Kuna vifungo vinaeleza wazi kabisa kwa ajili ya utukufu Wa mungu sio lazima kuoza wana na kuozesha wanawali. Kasome biblia vizuri
Lita je!? Fungu kwenye biblia ukilitaja tu! Kesho nabadili dini, Nina marafiki zangu wawili ni watoto wa mapadri
 
Habarini wana javin habarini za mchana bila shaka wengine weekend imeanza na wengine majukumu yanaendelea.....!!!
Kama mada inavosomeka hapo juu nimekua nikijiuliza hili swali pasipokua na majibu labda wanajamvi wa intelligence mnaweza changia kwa hoja zenye kujinga mno

Kwa kuanza nihitaji kujua je ni sahihi PAPA au PADRI kutokuoa wakati biblia kupitia baazi ya funuo zake zinatuhimiza kuijaza dunia au ulimwengu kupitia ndoa vile vile kwa hawa wanitwa WATAWA au MASISTER je ni sahihi kwa wao kutokuo?.Ukilinganisha na matukio mbali mbali yanayofanya na hawa viongozi kurawiti watoto na kufanya mambo yasiyojenga kwa hao watoto au kondoo wanao wachunga.Tumeskia baadhi ya kesi kua wamewabaka watoto na kuwafanyia vitendo ambavo sio vyema.Je ni sheria ambazo wanaziweka wenyewe au ni ujumbe kutoka kwa MUNGU kwamba wao wasioe wala kuolewa na kama ni sheria zao kwanini hawazisimamii na kuzitimiza?.
Actually kuna mkanganyiko juu ya hawa viongozi kwenye dini napenda kuwasilisha na kupokea maoni yenye kujenga kwa jamii zima ya intelligence napenda kutanguliza shukran zangu....Ahsanteni[emoji120] [emoji120] [emoji120]

Nafikiri majibu yote yapo hapa

1 wakorintho 7

31 Na wale wautumiao ulimwengu huu, kama hawautumii sana; kwa maana mambo ya ulimwengu huu yanapita.
32 Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;
33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.
34 Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe.
35 Nasema hayo niwafaidie, si kwamba niwategee tanzi, bali kwa ajili ya vile vipendezavyo, tena mpate kumhudumia Bwana pasipo kuvutwa na mambo mengine.


Pia Yesu naye kapigia msumari hapa

Mathayo 19:12
12 Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.

Cc mgaya chacha Towned Anikajema Northman
 
Habarini wana javin habarini za mchana bila shaka wengine weekend imeanza na wengine majukumu yanaendelea.....!!!
Kama mada inavosomeka hapo juu nimekua nikijiuliza hili swali pasipokua na majibu labda wanajamvi wa intelligence mnaweza changia kwa hoja zenye kujinga mno

Kwa kuanza nihitaji kujua je ni sahihi PAPA au PADRI kutokuoa wakati biblia kupitia baazi ya funuo zake zinatuhimiza kuijaza dunia au ulimwengu kupitia ndoa vile vile kwa hawa wanitwa WATAWA au MASISTER je ni sahihi kwa wao kutokuo?.Ukilinganisha na matukio mbali mbali yanayofanya na hawa viongozi kurawiti watoto na kufanya mambo yasiyojenga kwa hao watoto au kondoo wanao wachunga.Tumeskia baadhi ya kesi kua wamewabaka watoto na kuwafanyia vitendo ambavo sio vyema.Je ni sheria ambazo wanaziweka wenyewe au ni ujumbe kutoka kwa MUNGU kwamba wao wasioe wala kuolewa na kama ni sheria zao kwanini hawazisimamii na kuzitimiza?.
Actually kuna mkanganyiko juu ya hawa viongozi kwenye dini napenda kuwasilisha na kupokea maoni yenye kujenga kwa jamii zima ya intelligence napenda kutanguliza shukran zangu....Ahsanteni[emoji120] [emoji120] [emoji120]
an
Wanapanua soko la ajira tu lakini sio maelekezo ya muumba mbingu na nchi ko niuhuni tu ulio jificha ndan,ya din ila hamna chamaana
 
N
Kama Kuna vifungo hivyo na waliviapa kwanini mapadri kila siku Ni kesi Tena za kulawiti...Ina maana hawayaamini maandiko yao wenyewe....
Ni km wewe na au baadhi ya ndugu na au jirani zako , ambao wameshindwa kabisa kuwa waaminifu kwenye ndoa zao
 
wazungu hawakuhasi mtumwa ndio maana kuna vizazi vya watumwa huko, waarabu ndio waliowahasi babu zetu na huko hakuna vizazi vya watumwa
 
wazungu hawakuhasi mtumwa ndio maana kuna vizazi vya watumwa huko, waarabu ndio waliowahasi babu zetu na huko hakuna vizazi vya watumwa
Mkuu una uhakika na unachosema au ndio propaganda mnaleta JF siku hizi?? Ni lini hakuna vizazi vya watumwa huko uarabuni??

Afro-Asians in South Asia - Wikipedia
Afro-Iraqi - Wikipedia
Screenshot_2018-09-22-06-22-28.png
 
Kuweko watu weusi sio lazima wawe vizazi vya watumwa, wanaweza kuwa wahamiaji au machotara waliozaliwa kwa mama zao kuolewa au kubakwa
 
Back
Top Bottom