Kwa hapa Tanzania mbao daraja la kwanza ni mninga, mvule, Mkongo etc lakini bei ya mbao umesimama si chini ya elfu 30 au zaidi kwa mbao moja. Hivyo watu sasa wanatumia mtondoro, msederela n.k
Tumia mti wa Mwarobaini ila uwe umekomaa vizuri hutajutia!
Hagusi mdudu wa aina yoyote hapo.
Mimi nilitebgenezewa na bro wangu tangu mwaka 2008 mpaka leo kama kipya yaani