Nawasalimu wana jukwaa. Natumai mu wazima sana humu ndani.
Kuna jambo ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je, hivi ni muhimu kufahamu chanzo cha kuvunjika mahusiano aliyotoka mpenzi wako kabla ya kuwa na wewe. Na hii ni kwa wote, wanaume na wanawake?
Ni muhimu Sana aisee yalishanikuta kufakamia mtu ambaye alikuwa kaachika huko kakaa na mtu miaka miwili kumbe umalaya wake ndo ulisababisha aachike.
Mtoto alikuwa hatulii Kwa wanaume ilibidi nimchunguze mpk nikapata namba ya jamaa yake WA zamani na akawa mchz wangu Sana akanipa story zote za binti niliyekuwa Naye ilibid nijichomoe Tu skuwa na namna kabsa.
Sio mwanamke au mwanaume tu, hata simu, gari, tv, au chaja used jitahidi ujue shida yake kabla hujanunua. Vinginevyo kuna dosari nyingine gharama yake ni machozi...