Nyamabano town
Member
- Jul 14, 2016
- 14
- 6
Nawasalimu wote humu ndani
Naomba msaada wa mawazo /ushauri lipi bora kuagiza gari moja kwa moja toka Japan kwa kutumia makampuni yanayofanya shughuli hizo au kwenda direct show room za hapa hapa Dar es Salaam? Mfano unataka toyota noah super extra limo old model ya 1999?
Niwatakie ushauri mwema
Naomba msaada wa mawazo /ushauri lipi bora kuagiza gari moja kwa moja toka Japan kwa kutumia makampuni yanayofanya shughuli hizo au kwenda direct show room za hapa hapa Dar es Salaam? Mfano unataka toyota noah super extra limo old model ya 1999?
Niwatakie ushauri mwema