Mimi Bibi Yenu Mpambanaji
Senior Member
- Oct 6, 2024
- 147
- 303
Wazee wenzangu na wajukuu zangu salaam.
Naomba tujuzane namna sahihi ya kumeza dawa maarufu kama kutwa mara tatu.
1. Je, nigawe masaa 24/3=8 ambapo ninywe dawa kila baada ya masaa nane, yaani kama dawa nilianza kumeza saa 12 asubuhi, nije kumeza saa nane mchana, na kisha nije kumeza saa nne usiku?
2. Au kama nimeanza kumeza dawa saa 12 asubuhi, nimeze tena saa sita mchana, kisha saa 12 jioni?
Kati ya njia hizo mbili, ipi ni sahihi kwa matumizi sahihi na yenye tija kwa afya?
Naomba tujuzane namna sahihi ya kumeza dawa maarufu kama kutwa mara tatu.
1. Je, nigawe masaa 24/3=8 ambapo ninywe dawa kila baada ya masaa nane, yaani kama dawa nilianza kumeza saa 12 asubuhi, nije kumeza saa nane mchana, na kisha nije kumeza saa nne usiku?
2. Au kama nimeanza kumeza dawa saa 12 asubuhi, nimeze tena saa sita mchana, kisha saa 12 jioni?
Kati ya njia hizo mbili, ipi ni sahihi kwa matumizi sahihi na yenye tija kwa afya?