Je ni nani anamshauri Rais katika teuzi?

Je ni nani anamshauri Rais katika teuzi?

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Kumekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara katika nafasi mbalimbali Serikalini. Lakini wananchi wamekuwa wakiwashangaa wanarudishwa katika nafasi walizoondolewa kutokana na uadilifu au uwezo wa wahusika.

Je ina maana hakuna wengine waadilifu hadi walioondolewa wanarudishwa tena?

Au kuna maigizo kwenye siasa kwa sasa?
 
Sisi tulimchagua yeye, huwezi kumpangia, na si lazima afuate ushauri wa mtu yeyote
 
Rais Aendelee Kutufanyizia Kazi Kweli Kweli
 
Back
Top Bottom