Je, ni nani wanapaswa kuvaa barakoa za kitabibu?

Je, ni nani wanapaswa kuvaa barakoa za kitabibu?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210301_123327_0000.png


Wafanyakazi wa afya katika mazingira ya kliniki

Mtu yeyote anayesubiri matokeo ya vipimo vya Korona au ambaye amekutwa na Virusi vya Korona.

Watu wanaomhudumia mtu anayeshukiwa au kuthibitishwa kuwa na Korona, nje ya vituo vya afya.

Barakoa za kitabibu pia zinapendekezwa kwa watu wafuatao, kwa sababu wapo katika hatari kubwa ya kuathiriwa zaidi na virusi vya Korona:

Watu wenye umri wa miaka 60 au zaidi.

Watu walio na magonjwa sugu ya kupumua, ugonjwa wa moyo, saratani, unene kupita kiasi, wagonjwa waliopungukiwa na kinga ya mwili na ugonjwa wa kisukari

Watu wenye umri chini ya miaka 60 na wana hali nzuri ya kiafya wanaweza kuvaa barakoa za vitambaa
 
Upvote 0
View attachment 1714658

Wafanyakazi wa afya katika mazingira ya kliniki

Mtu yeyote anayesubiri matokeo ya vipimo vya Korona au ambaye amekutwa na Virusi vya Korona.

Watu wanaomhudumia mtu anayeshukiwa au kuthibitishwa kuwa na Korona, nje ya vituo vya afya.

Barakoa za kitabibu pia zinapendekezwa kwa watu wafuatao, kwa sababu wapo katika hatari kubwa ya kuathiriwa zaidi na virusi vya Korona:

Watu wenye umri wa miaka 60 au zaidi.

Watu walio na magonjwa sugu ya kupumua, ugonjwa wa moyo, saratani, unene kupita kiasi, wagonjwa waliopungukiwa na kinga ya mwili na ugonjwa wa kisukari

Watu wenye umri chini ya miaka 60 na wana hali nzuri ya kiafya wanaweza kuvaa barakoa za vitambaa
Pia watu walio kwny mazingira ya misongamano, kama ndani ya daladala, maeneo ya huduma, nk
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom