Je, ni ndoto gani ya ajabu ambayo umewahi kuota?

Je, ni ndoto gani ya ajabu ambayo umewahi kuota?

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Wakuu leo tupige stori nyepesi. Mambo ya Hamas, Karia & TFF, Siasa, Simba na Yanga tuweke kando kwa muda. Ni ndoto gani uliyowahi kuota ikakushangaza?

Binafsi kuna siku niliota nimekaa sehemu maeneo ya Mburahati Madoto ninakunywa pepsi mara ghafla katokea Aliko Dangote kachoka mbaya anaomba nimnunulie au kumgawia ile pepsi nikasema NO. Nadhani hiyo siku nilikua na Malaria.. 🤣
 
Wakuu leo tupige stori nyepesi. Mambo ya Hamas, Karia & TFF, Siasa, Simba na Yanga tuweke kando kwa muda. Ni ndoto gani uliyowahi kuota ikakushangaza?

Binafsi kuna siku niliota nimekaa sehemu maeneo ya Mburahati Madoto ninakunywa pepsi mara ghafla katokea Aliko Dangote kachoka mbaya anaomba nimnunulie au kumgawia ile pepsi nikasema NO. Nadhani hiyo siku nilikua na Malaria.. 🤣
Wala si malaria, ulivyomnyima Ali ko Dangote soda aliingia kwenye uhalifu na juzi kati raia walimsulubu.
 
Wakuu leo tupige stori nyepesi. Mambo ya Hamas, Karia & TFF, Siasa, Simba na Yanga tuweke kando kwa muda. Ni ndoto gani uliyowahi kuota ikakushangaza?

Binafsi kuna siku niliota nimekaa sehemu maeneo ya Mburahati Madoto ninakunywa pepsi mara ghafla katokea Aliko Dangote kachoka mbaya anaomba nimnunulie au kumgawia ile pepsi nikasema NO. Nadhani hiyo siku nilikua na Malaria.. 🤣
😀😀, utajiri unanukia komaa kuchapa kazi.
 
Wakuu leo tupige stori nyepesi. Mambo ya Hamas, Karia & TFF, Siasa, Simba na Yanga tuweke kando kwa muda. Ni ndoto gani uliyowahi kuota ikakushangaza?

Binafsi kuna siku niliota nimekaa sehemu maeneo ya Mburahati Madoto ninakunywa pepsi mara ghafla katokea Aliko Dangote kachoka mbaya anaomba nimnunulie au kumgawia ile pepsi nikasema NO. Nadhani hiyo siku nilikua na Malaria.. 🤣
Mi ntakua natafsiri tu......kwako Roho ya umasikini inakuandama mkuu
 
Kuna ndoto niliota kuhusu the late magu, dah acha ibaki tu kuwa ndoto ile!
Niliota Magu kabla hajawa Rais na akawa Rais, nikaota Tena vile ambavyo analiliwa na watu na ambavyo angeibadilisha Tanzania kwa kuijenga vyema...

Nimeota Tena ya mama na CCM ila sitasema...
 
Wala si malaria, ulivyomnyima Ali ko Dangote soda aliingia kwenye uhalifu na juzi kati raia walimsulubu.
Yeye anamzungumzia ALIKO DANGOTE A SUCCESSFUL NIGERIAN BUSINESS MAN, wewe unamtaja huyo dogo wa Arusha ALLY🤣🤣
 
Wakuu leo tupige stori nyepesi. Mambo ya Hamas, Karia & TFF, Siasa, Simba na Yanga tuweke kando kwa muda. Ni ndoto gani uliyowahi kuota ikakushangaza?

Binafsi kuna siku niliota nimekaa sehemu maeneo ya Mburahati Madoto ninakunywa pepsi mara ghafla katokea Aliko Dangote kachoka mbaya anaomba nimnunulie au kumgawia ile pepsi nikasema NO. Nadhani hiyo siku nilikua na Malaria.. 🤣
Shehe Ponda na wafuasi wake kunikaba koo na kunilazimisha niwe gaidi, nikjilipua watailipa familia yangu milioni 2. Kuzinduka tu namuona binamu yangu kashika kanzu mpya ananiambia niivae na nimsindikize Kariakoo anakwenda kukutana na mtu muhimu nikamkatalia, mpaka leo atuongei mimi na yeye.
 
Back
Top Bottom