Uchaguzi 2020 Je, ni nini itakuwa Hatima ya Tanzania chini ya Lissu?

Uchaguzi 2020 Je, ni nini itakuwa Hatima ya Tanzania chini ya Lissu?

Evari77

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
665
Reaction score
674
Nimejaribu kufatilia hotuba za Lissu kujua endapo atachaguliwa tutakuwa na Tanzania ipi sijapata jibu nchi itaendelea au kurudi nyuma je miradi kama bwawa la umeme la nyerere, daraja la busisi, standard gauge, itakufa maana katika hotuba zake zote upinga vitu hivi ndege ndio kabisa anawauliza wananchi wanafaidika na nini

Je, tutazamie kwenda mbele au kurudi nyuma?

CHADEMA inaweza kupata wabunge walau 5% je anaweza kuunda Serikari?

Mambo ya serikali za majibu yamo kwenye ilani ya chadema au ni mawazo yake nineuliza sijapata majibu nimeuliza watu wanaomfatilia nini hasa waneelewa juu ya sera za chadema iwapo itapewa ridhaaa hakuna majibu ya ihakika

Mwenye kuekewa aje kutuhabarisha nawakilisha
 
Tatizo lako unawaza kimataga mataga,, panua hiyo akili yako nenda kasome ilani ya chadema, usitake watu tukuelezee mtu ambaye hupo tayari kutafuta maarifa, watanzania hatuhitaji hayo mavitu kwasasa tunachohitaji ni uhuru, haki na maendeleo yetu... Na ukishasoma ilani ya chadema utaelewa hayo mavitu yenu yataendelezwa au yataachwa... Chadema tunasema kwanza tunampumzisha huyu mtu pili tunalekebisha makosa yake ndipo tunasonga mbele
 
Mi nakuona mpuuzi pia kufikiria kuna siku mwendawazimu mpuuzi kama Lissu atawahi kuja kuwa rais JMT.
 
Mi nakuona mpuuzi pia kufikiria kuna siku mwendawazimu mpuuzi kama Lissu atawahi kuja kuwa rais JMT.
Unganisha CCM yote anzia mwenyekiti taifa Hadi balozi wa nyumba kumi chini kabisa wote hao hawalingani na mtu mmoja yaani Tundu Antipas Mughuai Lisu.
Kaa kimya mataga.
 
Gharama za kujenga bwawa la Nyerere ni Trilion 6. Mpaka sasa hivi mkandarasi amelipwa 1.4 T. Hata Magufuli akipewa mitano tena hawezi kumaliza ujenzi wa bwana la Nyerere.
Don't worry, mkandarasi tumeshaingia nae makubaliano tunampa kipande Cha ardhi achimbe dhahabu mpaka Deni litakapokwisha. Ndio Mana anaendelea na kazi. Kuna shida?
 
Uwezekano wa kupata majority bungeni kwenyewe ni ndoto ya Abunuas.

Ukishalijua hili tu basi unatakiwa uamke na kwenda kunawa!
 
  • Thanks
Reactions: nao
itarud nyuma maana wataanza kushiba kwanza ndipo wakunbuke miradi ya kimkakati
 
Nimejaribu kufatilia hotuba za Lissu kujua endapo atachaguliwa tutakuwa na Tanzania ipi sijapata jibu nchi itaendelea au kurudi nyuma je miradi kama bwawa la umeme la nyerere, daraja la busisi, standard gauge, itakufa maana katika hotuba zake zote upinga vitu hivi ndege ndio kabisa anawauliza wananchi wanafaidika na nini

Je, tutazamie kwenda mbele au kurudi nyuma?

CHADEMA inaweza kupata wabunge walau 5% je anaweza kuunda Serikari?

Mambo ya serikali za majibu yamo kwenye ilani ya chadema au ni mawazo yake nineuliza sijapata majibu nimeuliza watu wanaomfatilia nini hasa waneelewa juu ya sera za chadema iwapo itapewa ridhaaa hakuna majibu ya ihakika

Mwenye kuekewa aje kutuhabarisha nawakilisha

In short Lissu hawezi kua Rais wa nchi hii tuache hata hizo Assumptions ambazo hazina maana?
Anasera gani? Matusi na Chokochoko na Vurugu za kuleta Ugomvi kwa Watanzania wenye Amani kwa zaidi ya Miaka 50 tangu Uhuru?
NO!
LISSU HAWEZI KUWA RAIS WA TANZANIA
 
Nimejaribu kufatilia hotuba za Lissu kujua endapo atachaguliwa tutakuwa na Tanzania ipi sijapata jibu nchi itaendelea au kurudi nyuma je miradi kama bwawa la umeme la nyerere, daraja la busisi, standard gauge, itakufa maana katika hotuba zake zote upinga vitu hivi ndege ndio kabisa anawauliza wananchi wanafaidika na nini

Je, tutazamie kwenda mbele au kurudi nyuma?

CHADEMA inaweza kupata wabunge walau 5% je anaweza kuunda Serikari?

Mambo ya serikali za majibu yamo kwenye ilani ya chadema au ni mawazo yake nineuliza sijapata majibu nimeuliza watu wanaomfatilia nini hasa waneelewa juu ya sera za chadema iwapo itapewa ridhaaa hakuna majibu ya ihakika

Mwenye kuekewa aje kutuhabarisha nawakilisha
Huyo ni kijana mdogo mno anazungumza mambo asiyo yaelewa hata mimi namzidi upeo wa kufikiri. Ndio tatizo la kudandia siasa bila kuangalia hatima ya taifa.
 
Tatizo lako unawaza kimataga mataga,, panua hiyo akili yako nenda kasome ilani ya chadema, usitake watu tukuelezee mtu ambaye hupo tayari kutafuta maarifa, watanzania hatuhitaji hayo mavitu kwasasa tunachohitaji ni uhuru, haki na maendeleo yetu... Na ukishasoma ilani ya chadema utaelewa hayo mavitu yenu yataendelezwa au yataachwa... Chadema tunasema kwanza tunampumzisha huyu mtu pili tunalekebisha makosa yake ndipo tunasonga mbele
Dah Ase nyie Bavicha ni wakuwaonea huruma sana ndio umejibu kwa hoja hapo ......ebu endeleni kupiga MIAYOOOO
 
Nimejaribu kufatilia hotuba za Lissu kujua endapo atachaguliwa tutakuwa na Tanzania ipi sijapata jibu nchi itaendelea au kurudi nyuma je miradi kama bwawa la umeme la nyerere, daraja la busisi, standard gauge, itakufa maana katika hotuba zake zote upinga vitu hivi ndege ndio kabisa anawauliza wananchi wanafaidika na nini

Je, tutazamie kwenda mbele au kurudi nyuma?

CHADEMA inaweza kupata wabunge walau 5% je anaweza kuunda Serikari?

Mambo ya serikali za majibu yamo kwenye ilani ya chadema au ni mawazo yake nineuliza sijapata majibu nimeuliza watu wanaomfatilia nini hasa waneelewa juu ya sera za chadema iwapo itapewa ridhaaa hakuna majibu ya ihakika

Mwenye kuekewa aje kutuhabarisha nawakilisha
Kabla ya utawala huu Mwaka 2015 ilitungwa sheria ya uchimbaji wa ges vipi ges inachimbwa
 
Labda awe Rais wa Mawakili
In short Lissu hawezi kua Rais wa nchi hii tuache hata hizo Assumptions ambazo hazina maana?
Anasera gani? Matusi na Chokochoko na Vurugu za kuleta Ugomvi kwa Watanzania wenye Amani kwa zaidi ya Miaka 50 tangu Uhuru?
NO!
LISSU HAWEZI KUWA RAIS WA TANZANIA
 
Back
Top Bottom