Je, ni nini maana hasa ya neno mwisho wa dunia?

Je, ni nini maana hasa ya neno mwisho wa dunia?

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Salamu kwenu. Je, ni nini maana hasa ya neno mwisho wa dunia?

Leo muda fulani nilikuwa naangalia tv documentary moja niliona ikielezea kuwa mwisho wa dunia ni mahali fulani katika bara lililo kusini mwa dunia. Wataalam wanasema eneo hilo hakuna mtu yeyote wala kiumbe yeyote anayeweza kuishi au kufika eneo hilo.

huku upande wapili kwenye imani nako ni mengine kuhusu kitu hiki kinachoitwa mwisho wa dunia.

Sasa je ni maana ipi inayokwenda sawa na neno hilo?
 
Lazima uwe na imani fulani au ufahamu fulani kuelezea mwisho wa dunia. Ktk gods must be crazy yule jamaa anayefanana na Ali Kiba alitupa ile chupa iliyokuwa inawasumbua kijijini sehemu amabyo anaamini hakuna mtu atafika au kitu kikfika kule hakiwezi kurudi. Inategemea mtu anafahamu nini ili aelezee mwisho wa dunia. Kila jibu litakaloletwa halijalishi ni KWELI ama la, lakini litahusisha kile anachokifahamu mtu kabl a
 
Salamu kwenu. Je, ni nini maana hasa ya neno mwisho wa dunia?

Leo muda fulani nilikuwa naangalia tv documentary moja niliona ikielezea kuwa mwisho wa dunia ni mahali fulani katika bara lililo kusini mwa dunia. Wataalam wanasema eneo hilo hakuna mtu yeyote wala kiumbe yeyote anayeweza kuishi au kufika eneo hilo.

huku upande wapili kwenye imani nako ni mengine kuhusu kitu hiki kinachoitwa mwisho wa dunia.

Sasa je ni maana ipi inayokwenda sawa na neno hilo?
Ni pale black hole(hailezeki ukiwa ktk physical plane) zitakapo kunjakunja mbingu Na ardhi into nothing (singularity) Kila kitu kitakua sio kitu (matter will be converted in to antimatter)..Ila suratul qiyaama ktk kurani Allah ameeleza..ingia play store andika Swahili Qur'an
 
Mwisho kuanzia wapi? Kila kitu chenye mwanzo kina mwisho wake yaani kilipofikia. Je ni hilo jibu la swali lako?? Pili;
Kwa imani za kidini: Islam tunaiita siku ya quiama. Siku ambayo nabii Issa bin Marium (RA) atakuja kuwatetea wale wote wenye Rouh Allah. Hapo ni pale penye hukum.
Ndugu zetu wagalatia wanaamin kuwa ni siku ile ambayo hukumu zote zitakuwa zishafanyika naye Mungu ataikunjakunja dunia na mbingu zote kama karatasi na kuzitupilia mbali kwenye ziwa la moto huku akiagiza mbingu mpya na nchi mpya kabisa watakapoishi watakatifu {Walokole) pamoja na mwanakondoo au Bwana harusi wao.
Natamani kuiona siku hiyo cause I am ready to see it.
 
inategemea unazungumzia dunia ipi, mfano me dunia yangu ni kumega mademu hvy mwisho wake ni siku nikifa.
 
Back
Top Bottom