Je ni sababu zipi zinazopelekea Pascal Mayalla hapati teuzi yoyote mpaka sasa?

Je ni sababu zipi zinazopelekea Pascal Mayalla hapati teuzi yoyote mpaka sasa?

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.

Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
 
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.


Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Na kwa sasa hata akiupata utakuwa hauna maana yoyote. Yaani miaka 60 unakua DC au DED??
 
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.


Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Kila kitu ni mipango ya Mungu
 
Kwa sababu alishaandika humu jukwaani kuwa yeye hataki uteuzi wa aina yoyote ile. Naona yeye anataka ubunge tu.maana huo ndio aligombea mwaka 2020 akapata kura moja tu kutoka kwa wajumbe. Lakini pia aligombea na kuomba kutaka ateuliwe kwenda kuomba kura za ubunge wa bunge la Afrika mashariki lakini jina lake likakwama juu kwa juu.
 
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.


Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Inawezekana anao wa kimya kimya kama akina Luca,Tlaahtlaa ,Chiembe,Choicevariable na marafiki zao akina Ze baptist na wengine.
 
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.


Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
We unahisi kwanini apate teuzi?
 
Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.
Ni kwasababu yeye ni mwandishi wa habari na hivyo huwa anaongozwa na ukweli (truthfulness). Jambo hili linawakera wengi kwani hawapendi kuambiwa ukweli. Mimi na Pascal tulie tu kwa taaluma zetu ambazo zinatuongoza katika kusema ukweli.

Sisi huwa tunasema "tusonge mbele, kurudi nyuma mwiko"..
 
Ni kwasababu yeye ni mwandishi wa habari na hivyo huwa anaongozwa na ukweli (truthfulness). Jambo hili linawakera wengi kwani hawapendi kuambiwa ukweli. Mimi na Pascal tulie tu kwa taaluma zetu ambazo zinatuongoza katika kusema ukweli.

Sisi huwa tunasema "tusonge mbele, kurudi nyuma mwiko"..
Mwenzio anataka uteuzi ndo maana alipobaniwa na TISS alikasirika Sana.
 
Back
Top Bottom