richad
Member
- Jan 13, 2019
- 14
- 3
Habari za saizi wana jamiiforums natumaini mu wazima wa afya, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika
Eti kwa mfano mzazi wako alikopa fedha kwenye taasisi zinazokopesha fedha, akashindwa kulipa deni hilo akaondoka nyumbani bila taarifa yeyote sasa wale wanakikundi wenzake wakaanza kukudai wewe mtoto wake pesa za marejesho za mkopo wa mzazi wako ni haki kweli kwa hilo, ilihali kuna vitu ambavyo aliweka dhamana ambavyo ni vitu vya ndani lakini wao wanakuja nakukuambia ya kwamba aliweka nyumba yake kama dhamana ili hali unafahamu ya kwamba aliweka vitu vya ndani. Sasa wanaenda mbali zaidi nakutaka fedha ambazo wapangaji wa nyumbani kwenu wanazolipa kodi eti ziwe zinaenda kwenye marejesho moja kwa moja,
Naombeni ushauri katika hilo make bado sijachukua hatua yoyote!
Je niende kuwashitaki au ni haki kisheria wao kufanya ivyo kuingilia mambo ya kifamilia hasa kwenye nyumba ilihali katika mkopo dhamana akuweka nyumba, naombeni ushauri wenu wana JF
Eti kwa mfano mzazi wako alikopa fedha kwenye taasisi zinazokopesha fedha, akashindwa kulipa deni hilo akaondoka nyumbani bila taarifa yeyote sasa wale wanakikundi wenzake wakaanza kukudai wewe mtoto wake pesa za marejesho za mkopo wa mzazi wako ni haki kweli kwa hilo, ilihali kuna vitu ambavyo aliweka dhamana ambavyo ni vitu vya ndani lakini wao wanakuja nakukuambia ya kwamba aliweka nyumba yake kama dhamana ili hali unafahamu ya kwamba aliweka vitu vya ndani. Sasa wanaenda mbali zaidi nakutaka fedha ambazo wapangaji wa nyumbani kwenu wanazolipa kodi eti ziwe zinaenda kwenye marejesho moja kwa moja,
Naombeni ushauri katika hilo make bado sijachukua hatua yoyote!
Je niende kuwashitaki au ni haki kisheria wao kufanya ivyo kuingilia mambo ya kifamilia hasa kwenye nyumba ilihali katika mkopo dhamana akuweka nyumba, naombeni ushauri wenu wana JF