Je, ni sahihi kufanya mapenzi ukweni pale mnapokuwa mmeenda kutembea?

Huyo mama naye mnoko kweli!
Back to the topic: mpe mzigo jamaa kwanza akipiga mashine sawa sawa hata mshua akisikia sauti atajiamini kwamba an dume la mbegu!
Sasa wewe unataka umnyime mbususu apeleke wapi nyege zake ? Akikamatwa anapiga nyeto au ametomba kuku wa jirani si ndo itakuwa aibu tu?!
 
Joined today at 11:50
Halafu mleta mada ana mwandiko wa kiume tena anaandikia mashoto kama kale kajamaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu uzi wa kiume kabisa sema ni strungi flani hivi kiaina[emoji1787]
 
mfanye chumbani usiku na mkubaliane mfanye bila kupiga makelele

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Ukweni.pagumu sana aise...kama umezoea kutupia mapigo itasumbuka.kila nguo unaambiwa inakuchora🤔
Wazungu wametuacha parefu mno
Sisi huku unafki ni mwingi,eti ukienda ukweni uvae mgauni mrefu kumbe behind the scene unapiga zako vimini unadanga kila kona🤣🤣🤣🤣
Mi kwakweli navaa tu nnavyojisikia asiependa akaniripoti bbcworld
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…