Ni mda gani umepita tangu waowane vp maisha yao yapoje ?Kuna cousin wangu amemuoa mdada mkubwa kwake amepitwa miaka hiyo hiyo 8. Mimi sikupenda vile mdada anaonekana mkubwa sana kwa naked eye.
Lakini mambo yao nimewaachia wenyewe
Sasa wakati unaanza mahusiano si ulijua amekuzidi miaka mi3, pili mambo ya ndoa usitafute ushauri aisee ni jambo linahusu amani ya moyo wako so nashauri ufate moyo wako since wewe ndo unaemjua huyo mtarajiwa wako.Habari wakuu,
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.
Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.
Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?
Naombeni ushauri wenu.
Hawana shida yoyote kusema ukweliNi mda gani umepita tangu waowane vp maisha yao yapoje ?
Endelea na mipango yako bossKwann boss [emoji16]
Come on dude.....bado vijana wote .. ni vyema mtoto apate malezi ya baba Na mama ...age doesn't guarantee successful marriage...Priyanka Chopra kamzidi mumewe miaka 10 Na ukiwaona utasema wako Sawa Google utawaona....muoe mdada wa watu26 kwa 34
hakuna shidaHabari wakuu,
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.
Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.
Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?
Naombeni ushauri wenu.