Mkuu so mama ana 34 years ww una 26 years.Mnaweza kuwa wapenzi na Mkafurahi ila kama ni swala la ndoa ambalo kitafsiri ni LONG term comitment Inabidi Utulie na usiwe na haraka.Ila Age is Just a number sema tu umri wako huo ndio utaleta shida ila Yeye anaweza kukufanya uwe the best version of you.So uamuzi unategemea na ww zaidi.Yeye anaweza kuwa mke wa mtu yeyote mwenye heshima na Nidhamu.Je wewe unayo heshima na Nidhamu?26-34
Mwanangu unazngua, mbona sku ile hukunambia kama ushamzalisha? Unanipa habari nusu nusu kiranja wangu!!!!!sasa amenizalia mtoto
Tafuta mke uliyemzidi umri watoto wa Form 4 wapo wamemaliza wengi.Achana na hayo mambo ya kuoa mashangazi unajishusha hadhi.Kwanini mkuu
Yani kama utaweza kufunga ndoa na huyo bibi yako basi unao uwezo wa kwenda kujiunga na kundi la Hamas uko ukanda wa Gaza!Habari wakuu,
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, mimi nina mahusiano na mwanamke ambaye amenizidi umri wa miaka 8, uhusiano huo mpaka sasa una miaka 3, kwasababu mimi umbo langu kubwa kidogo tunaonekana tupo sawa hata watu wanajua mimi nimezidi miaka kutokana na umbo langu na yeye umbo lake sio kubwa.
Tumekuwa kwenye mahusiano hayo mpaka sasa amenizalia mtoto na nimemzoea sana, kila nikitaka kumuacha roho yangu inauma sana, yaani nishapenda.
Je, swali langu ni sahihi? Tunaweza kufunga ndoa kuwa mke na mume?
Naombeni ushauri wenu.
Mleta mada ishu humu.Kama umempenda muoe TU maana age is nothing but a number is
Usitazame watu wanataka nini Ila tazama wewe Unataka nini .
Jambo la kuzingatia unapofanya maamuzi ya kuoa kaa chini tafakari kwa kina Sana Mtazame huyo mwanamke After 20 years mbele.
Tazama usalama wa watoto wako.
Tazama uwezo wake wa akili na maarifa uwezo wa Kutoa na kupokea
Tazama background ya familia yake DNA , je hawana magonjwa ? Je wanaishi miaka mingi? N.k
Be conscious be smarter
Ndoa hizi za watoto wadogo ndo pasua kichwa saana mkuu.Huyu jamani, me naona wafunge tu ndoa!!
Anampenda na wameshazaa...
Umri ni number tuu!!!
Mambo mengine watajua mbeleni...
Maana hata wanao oa watoto wadogo ndoa zao hazipo perfect!!!!