Je, ni sahihi kumuuliza mchepuko wa mwenza wako kabla ya kufanya maamuzi?

Je, ni sahihi kumuuliza mchepuko wa mwenza wako kabla ya kufanya maamuzi?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Je, ni sahihi kumuuliza mchepuko wa mke wako au mme wako mara unapogundua anatoka na mme/mke wako kabla ya kufanya maamuzi ya kutoa hukumu?

1629191576960.png
 
Nimuulize ili iweje? Sita muuliza mke wangu wala mchepuko wake. Nakaa zangu kimya yaani kama sijui kitu vile.
Siku nikicharuka atakuta nimeandika getini, I love my mchepuko Rama Cheupe muuza chips.

Nikitoka hapo nafanya mbinu, naenda kwa mchepuko naandika bango kubwa, I love Miss Natafuta, mke wa Bujibuji, weee mke wangu Kuruthum ni fala tu hujui kitu.

Kisha narudi zangu home, nakaa kimyaaa wasimuliane wenyewe kisa na mkasa kilichowakuta
 
Nimuulize ili iweje? Sita muuliza mke wangu wala mchepuko wake. Nakaa zangu kimya yaani kama sijui kitu vile.
Siku nikicharuka atakuta nimeandika getini, I love my mchepuko Rama Cheupe muuza chips.
Nikitoka hapo nafanya mbinu, naenda kwa mchepuko naandika bango kubwa, I love Miss Natafuta, mke wa Bujibuji, weee mke wangu Kuruthum ni fala tu hujui kitu.
Kisha narudi zangu home, nakaa kimyaaa wasimuliane wenyewe kisa na mkasa kilichowakuta
Duuuh kaka! Wakipretend like nothing happened utafanya nn tukio gani tena
 
Nimuulize ili iweje? Sita muuliza mke wangu wala mchepuko wake. Nakaa zangu kimya yaani kama sijui kitu vile.
Siku nikicharuka atakuta nimeandika getini, I love my mchepuko Rama Cheupe muuza chips.
Nikitoka hapo nafanya mbinu, naenda kwa mchepuko naandika bango kubwa, I love Miss Natafuta, mke wa Bujibuji, weee mke wangu Kuruthum ni fala tu hujui kitu.
Kisha narudi zangu home, nakaa kimyaaa wasimuliane wenyewe kisa na mkasa kilichowakuta
Kijana @went extinct
 
Sio sahihi, kwani mlipokubaliana kuwa kwenye mahusiano alikuwepo na yeye?
 
Je ni sahihi kumuuliza mchepuko wa mke wako au mme wako mara unapogundua anatoka na mme/mke wako kabla ya kufanya maamuzi ya kutoa hukumu?
Hata siku moja usifanye uamuzi wa kumuuliza unayehisi ni mchepuko wa mpenzi/Mume wako.

Mimi binafsi ni shuhuda wa hilo..
Mara nyingi hilo litaharibu kabisa mahusiano yako na Mume/mke/au mpnz wako.
Mara nyingi ukikutana na mchepuko mkorofi anavuruga kabisa mahusiano yenu hata kama hawajaanza mapenzi.

Yupo binti mmoja mzr sana nilikuwa namtaka.
Nilimsumbuwa sn japo kuwa alinambiya ana mchumba wake.

Baada ya boyfriend wake kuona moja ya SMS yangu kwnye Simu ya yule mrembo,
Aliamua kunipigia Simu na kuniuliza mahusiano yangu mm na yule mrembo.

Mbaya zaidi alinipigia akiweka loud speaker mbele ya yule msichana.

Niliona fursa ni sasa.

Boyfriend.
Helo habari.
Nikajibu nzr.

Samahani unamjuwa mwenye hii namba?

Nikamjibu ,,nipe Mwenye Simu niongeee nae,
Kwani wewe nani kwake?
Akanambiya Mimi mchumba wake.

Nikamwambiya basi huyo msichana mshenzi sana,
Siku zote anakuja kwangu tunakula na kushinda pamoja mbona hajawahi kinambiya ana mchumba?

Kwanza wewe upo wp?wewe ndy ninayekutafuta Siku zote.

Ndy maana mpnz wng siku hizi haeleweki kumbe sababu ni wewe,,
Sasa ama zako ama zangu..

Na nikikuona n matatizo makubwa.
Muulize huyo mrembo taarifa zangu..

Dah,,nilivuruga na kuvunja mahusiano yale,
Siku ya pili niliipeleka muamala mmoja wa pesa mzito sana wa kuomba radhi kwa mrembo.
Kwa yaliyotokea,,

The next day mrembo ananiuliza nikipanda bajaji nimwambiye anilete maeneo gani?..

Mtoto nampapasa hadi Leo.
 
Je ni sahihi kumuuliza mchepuko wa mke wako au mme wako mara unapogundua anatoka na mme/mke wako kabla ya kufanya maamuzi ya kutoa hukumu?

Kwa uzoefu wangu:

Kama wewe ni mwanaume, ukagundua kuna mtu anamzengea mke/mchumba wako, unaweza kabisa kumfata KISTAARABU mkakaa na mkaongea kama wanaume na swala hilo likaisha! Hii nina ushahidi wa kutosha kwa jamaa ambao limeshawatokea.

Mimi binafsi mwanaume mwenzangu akinifata KISTAARABU akaniambia bro huyu manzi ivi na ivi bana ni wife/mchumba wangu na nini..., mi naachana na huyo demu immediately. Aftaroo hawa mademu tunakula tu mara nyingi hua hatuna fyucha wala nini so kumuacha ni sekunde.

NB 1: Uje kistaarabu. Sio unapiga simu "Oya we bloo unamjua fulani? Ni nani wako? Achana nae kabisa... nyoko nyoko...!" Weeee! Hapo ata kama nilikua sina mpango wa kumla ntafanya juu chini nimtafune!

NB 2: Hii kwa upande wa wanawake HAIWEZEKANI!
 
Hata siku moja usifanye uamuzi wa kumuuliza unayehisi ni mchepuko wa mpenzi/Mume wako.

Mimi binafsi ni shuhuda wa hilo..
Mara nyingi hilo litaharibu kabisa mahusiano yako na Mume/mke/au mpnz wako.
Mara nyingi ukikutana na mchepuko mkorofi anavuruga kabisa mahusiano yenu hata kama hawajaanza mapenzi.
Guess mnakutana na vichwa vibovu tu, mshukuru sana Mungu ulikutana na Mwanaume mwenye roho ya kimama.

Mkuu sikutanii, kama ningekuwa mimi kwa hayo majibu yako ni hakika nilikuwa nayanunua maisha yako kwa gharama yoyote ile na kama isingekuwa hivyo basi ningekutia kilema cha maisha , sio kwasababu eti ya yule mwanamke (wanawake wengi tu,na hata hivyo hakuwa mke) ila nitafanya hivyo kwasababu kauli zako zilikuwa ni za kudhalilisha uanaume wa wangu, ningeanzisha battle na wewe mpaka nione kama una huo uwezo uliojinadi nao.

Jifunzeni kukabiliana na vitu kwa busara, kuna watu duniani hawachezewi,ohooo.
 
Nimuulize ili iweje? Sita muuliza mke wangu wala mchepuko wake. Nakaa zangu kimya yaani kama sijui kitu vile.
Siku nikicharuka atakuta nimeandika getini, I love my mchepuko Rama Cheupe muuza chips.
Nikitoka hapo nafanya mbinu, naenda kwa mchepuko naandika bango kubwa, I love Miss Natafuta, mke wa Bujibuji, weee mke wangu Kuruthum ni fala tu hujui kitu.
Kisha narudi zangu home, nakaa kimyaaa wasimuliane wenyewe kisa na mkasa kilichowakuta
Akili za kina Muamala Mwakatozo utazijua tu [emoji23][emoji23]
 
Guess mnakutana na vichwa vibovu tu, mshukuru sana Mungu ulikutana na Mwanaume mwenye roho ya kimama.

Mkuu sikutanii, kama ningekuwa mimi kwa hayo majibu yako ni hakika nilikuwa nayanunua maisha yako kwa gharama yoyote ile na kama isingekuwa hivyo basi ningekutia kilema cha maisha , sio kwasababu eti ya yule mwanamke (wanawake wengi tu,na hata hivyo hakuwa mke) ila nitafanya hivyo kwasababu kauli zako zilikuwa ni za kudhalilisha uanaume wa wangu, ningeanzisha battle na wewe mpaka nione kama una huo uwezo uliojinadi nao.

Jifunzeni kukabiliana na vitu kwa busara, kuna watu duniani hawachezewi,ohooo.
Kumbe mkuu ndy nyie mnaopigania mwanamke?
Mwanamke hapiganiwi MKUU,,ni kama chanjo ni hiyari ya moyo wake.
Na mapenzi sio lazima.
Kwanza ni kipi kimedhalilisha uanaume hapo?
Unapaswa ujifunze kitu.
Usimpigie Simu mwanaume mwenzio kisa unahisi anauhusiano na mwanamke wako.
Deal with your woman.
Ni kosa kubwa sana ktk mahusiano,kumpigia unayemuhisi.
Kwanza ni kama unazidi kumchoche mwanamke/mwanaume wako kuvutiwa na adui wako.

Pia kumbuka vita havina macho ,,
Chunga sana usije ukapata kilema wewe badala ya huyo mchepuko..
 
Kumbe mkuu ndy nyie mnaopigania mwanamke?
Mwanamke hapiganiwi MKUU,,ni kama chanjo ni hiyari ya moyo wake.
Na mapenzi sio lazima.
Kwanza ni kipi kimedhalilisha uanaume hapo?
Unapaswa ujifunze kitu.
Usimpigie Simu mwanaume mwenzio kisa unahisi anauhusiano na mwanamke wako.
Deal with your woman.
Ni kosa kubwa sana ktk mahusiano,kumpigia unayemuhisi.
Kwanza ni kama unazidi kumchoche mwanamke/mwanaume wako kuvutiwa na adui wako.

Pia kumbuka vita havina macho ,,
Chunga sana usije ukapata kilema wewe badala ya huyo mchepuko..
Naona haujataka tu kunielewa mkuu😂.Kwenye maelezo yangu nimesema kabisa siwezi kupigania mwanamke kwakua wapo wengi tu,tena kama ni mchumba tu (sio mke) ndo kabisaaaaa siwezi. Soma hapo chini Ili ujue kauli zangu zimekujaje:-

👉🏿Katika comment yako umesema kuwa baada ya jamaa kukupigia kistaarabu akitaka kujua kinachoendelea Kati yenu, uliiona kama fursa na ukaitumia kumfitinisha na kipenzi chake.Kwangu mimi hiyo sio shida, shida inakuja kwenye zile tambo na mkwara uliyompiga jamaa "eti akizingua utamtafuta umuonyeshe, tena unaenda mbali zaidi unawambia amuulize mchumba wake Ili ajue ilivyo katili😂"

Aiseeh ukikutana na watu wanaopenda vita mwanzo mwisho ni lazima akufanye kitu mbaya, haiwezekani nikuachie mwanamke afu nikubali na kupigwa mkwara kirahisi hivyo.Narudia tena,hapo tungetafutana mpaka mmoja wetu akubali, sio kwasababu ya mwanamke bali ni kwasababu kauli zako zilikuwa ni zakunidhalilisha mbele ya mwanamke (maana simu ilikuwa loud mode)


Shukuru sana ulikutana na boya.
 
Aiseeh ukikutana na watu wanaopenda vita mwanzo mwisho ni lazima akufanye kitu mbaya, haiwezekani nikuachie mwanamke afu nikubali na kupigwa mkwara kirahisi hivyo.Narudia tena,hapo tungetafutana mpaka mmoja wetu akubali, sio kwasababu ya mwanamke bali ni kwasababu kauli zako zilikuwa ni zakunidhalilisha mbele ya mwanamke (maana simu ilikuwa loud mode)


Shukuru sana ulikutana na boya.

Assumption unayoifanya ni kwamba mtu anaekuchukulia demu wako lazima atakua boya kuliko wewe, kitu ambacho sio sahihi hata kidogo.

Unaweza kunyang'anywa mwanamke na usifanye chochote! Tena ukijaribu ukajikuta wewe ndio unalia kama mbwa mwizi kuomba msamaha na kuapa kwamba hautarudia tena 😀

Nachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanya hiyo vita na ukashinda, bado mwishoni utakuja kugundua haina manufaa yoyote na kama ni mwanamke atachukuliwa tu, na heshima itashuka tu mwisho ni stress tu. Kama una akili, ishu kama hizi ni kutemana nazo na kufanya mambo ya maana.
 
Assumption unayoifanya ni kwamba mtu anaekuchukulia demu wako lazima atakua boya kuliko wewe, kitu ambacho sio sahihi hata kidogo.

Unaweza kunyang'anywa mwanamke na usifanye chochote! Tena ukijaribu ukajikuta wewe ndio unalia kama mbwa mwizi kuomba msamaha na kuapa kwamba hautarudia tena 😀

Nachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanya hiyo vita na ukashinda, bado mwishoni utakuja kugundua haina manufaa yoyote na kama ni mwanamke atachukuliwa tu, na heshima itashuka tu mwisho ni stress tu. Kama una akili, ishu kama hizi ni kutemana nazo na kufanya mambo ya maana.
Mkuu hata wewe unaweza kuninyang'anya na wala nisifanye chochote, mchuke demu wangu kausha ila maswala ya kunipiga mkwara mbele ya demu wangu, aaaaàah aiseeh hakikisha uwezo wa kufanya kitu unao vinginevyo sijui tu.,daaah hahahaa😂.

Yani kuninyang'anya demu afu tena unichimbe mkwara mbele yake ilihali nakuona mwepesi tu, seriously ntakumaliza bro siwezi kukuacha hivihivi.

NB:Chukua demu wangu pita kushoto nitatafuta mwingine, nitavumilia kunyang'anywa mwanamke ila sio dharau za aliyeninyang'anya.
 
Assumption unayoifanya ni kwamba mtu anaekuchukulia demu wako lazima atakua boya kuliko wewe, kitu ambacho sio sahihi hata kidogo.
Sasa mkuu nikuchukulie mke wako alafu licha ya kunipoteza nianze kukufanyia dharau mbele ya mwanamke wako, utalichukuliaje hilo swala?

Kwakweli mimi siwezi kuvumilia lazima nireact , na sio kwamba eti nafanya vile ili kumtaka tena yule mwanamke nafanya vile Ili siku nyingine asilete mazoea na mimi.
 
Naona haujataka tu kunielewa mkuu[emoji23].Kwenye maelezo yangu nimesema kabisa siwezi kupigania mwanamke kwakua wapo wengi tu,tena
Sawa MKUU,,
Ila usimpigie Simu unayehisi anatoka na mpnz wako.
Deal na mpnz wako.

Shukran
 
Kwa uzoefu wangu:

Kama wewe ni mwanaume, ukagundua kuna mtu anamzengea mke/mchumba wako, unaweza kabisa kumfata KISTAARABU mkakaa na mkaongea kama wanaume na swala hilo likaisha! Hii nina ushahidi wa kutosha kwa jamaa ambao limeshawatokea.

Mimi binafsi mwanaume mwenzangu akinifata KISTAARABU akaniambia bro huyu manzi ivi na ivi bana ni wife/mchumba wangu na nini..., mi naachana na huyo demu immediately. Aftaroo hawa mademu tunakula tu mara nyingi hua hatuna fyucha wala nini so kumuacha ni sekunde.

NB 1: Uje kistaarabu. Sio unapiga simu "Oya we bloo unamjua fulani? Ni nani wako? Achana nae kabisa... nyoko nyoko...!" Weeee! Hapo ata kama nilikua sina mpango wa kumla ntafanya juu chini nimtafune!

NB 2: Hii kwa upande wa wanawake HAIWEZEKANI!

Wana mnakuwaga na mikwara sometimes[emoji1787][emoji1787][emoji1787] embu amua basi mwaangu kumgonga mimi mars
 
Back
Top Bottom