Je, ni sahihi kumuuliza mchepuko wa mwenza wako kabla ya kufanya maamuzi?

Dah..mkuu bhanaa...sasa assume ungemsaka huyo mwana then wewe ndo ugeuzwe supu au utiwe kilema....ungefanyaje??
 
Dah..mkuu bhanaa...sasa assume ungemsaka huyo mwana then wewe ndo ugeuzwe supu au utiwe kilema....ungefanyaje??
Ni ngumu sana kwakua sina muda wa kumtafuta personal, atatafutwa na watu wa karba yake kwaajili yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…