gibral01
Member
- Jan 13, 2013
- 57
- 13
Ni sahihi kupitisha nyaya za umeme juu ya nyumba bila ridhaa ya Mwenye Nyumba? Na Kama ikitokea nyaya zimepita kwenye uwanja wa mtu na baadae akataka kujenga nyumba sehemu hiyo atafanyaje?
Naomba ufafanuzi ili wote tuwe na uelewa wa pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ufafanuzi ili wote tuwe na uelewa wa pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app