johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nauliza tu ndugu Zangu maana nijuavyo Vyama vya Siasa ni Mali ya Umma siyo binafsi
Aidha Kanisa ni la Yesu Kristo yaani Moja Takatifu La Mitume na Utukufu Ni wa Mungu Juu Mbinguni siyo Wanadamu
Naomba sasa Swali langu lijibiwe
Nimekaa pale 🐼😂
Aidha Kanisa ni la Yesu Kristo yaani Moja Takatifu La Mitume na Utukufu Ni wa Mungu Juu Mbinguni siyo Wanadamu
Naomba sasa Swali langu lijibiwe
Nimekaa pale 🐼😂