Jitu Refu
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 823
- 811
Mtoto mzuriiii wa kike kuwa Mwalimu mi naona sio vizuri kwani wanafunzi wa kiume hupata shida(hushindwa ku-concetrate kwenye kitu kinachofundishwa na mwalimu huyo na kuishia kutazama maungo ya mwalimu) wakifundishwa na walimu wenye uzuri uliopitiliza(hipsi za kutosha,sura tamu,sauti nyororo,rangi tamu ya ngozi,umbo matata,mguu wa bia).
USHAURI:Nawaomba TSD(mwajiri wa mwalimu) wawe wana ajiri walimu wanawake wenye uzuri wa kawaida tu,hawa wazuri sana wawape kazi zingine za kukaa ofisini.
USHAURI:Nawaomba TSD(mwajiri wa mwalimu) wawe wana ajiri walimu wanawake wenye uzuri wa kawaida tu,hawa wazuri sana wawape kazi zingine za kukaa ofisini.