sokoMchizi
Member
- Oct 15, 2022
- 50
- 210
Ya ngombe ni hatari mkuuHayana shida as long as ni maziwa sahihi kwa mtoto wa umri huo.
Kuna wengine wanawapa maziwa ya ng'ombe na watoto wanakua vizuri tu.
Nido formular au nido ya kawaida?Kumbe yana mwisho?
Dogo aliyanywa hayo kuanzia ana miezi 4 mpaka 7 tena Nido.
Ya kawaidaNido formular au nido ya kawaida?
Kuna nido za wakubwa na watoto .๐๐ ๐จ๐ฃ๐ ๐ง๐๐ฆ๐ข ๐ง๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ณ๐ข๐ฆ๐ ๐๐ง๐๐ซ๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ฒ๐ฐ๐ ๐๐๐๐?
Duuh.miezi minne??Ya kawaida
YeahDuuh.miezi minne??