Je ni sahihi magari ya serikali kutokatiwa bima?

Je ni sahihi magari ya serikali kutokatiwa bima?

kikahe

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2009
Posts
1,350
Reaction score
282
Wadau eti ni kweli magari ya Serikali hayakatiwi BIMA? ndo maana wind screen zinakuwa hazina kitu. Kama ni kweli je ni sahihi?
 
gari za serikali zote zina bina ila hazibandikwe sticker kama ulivyozoea kwa magari mengine. na ndiyo maana kwa madereva wajuzi hata ukiwaomba lift na gari la serikali hawakupi coz wewe huna bima litakapopata ajali wewe utadhurika. ukweli ni kwamba yote yana bima
 
Wadau eti ni kweli magari ya Serikali hayakatiwi BIMA? ndo maana wind screen zinakuwa hazina kitu. Kama ni kweli je ni sahihi?

Mkuu hujawahi kusoma "Risk Analysis"
 
Ina maana hizo bima hazina third party cover?
 
Kwanini hawapewi stickers? Ni kigezo kipi kinatumika kutoa stickers kwa wengine na magari ya serikali yasipewe stickers?
 
gari za serikali zote zina bina ila hazibandikwe sticker kama ulivyozoea kwa magari mengine. na ndiyo maana kwa madereva wajuzi hata ukiwaomba lift na gari la serikali hawakupi coz wewe huna bima litakapopata ajali wewe utadhurika. ukweli ni kwamba yote yana bima

nimekukubali kwa kunijuza na mi nsiyejua.
 
Back
Top Bottom