johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nafasi ya speaker sio ya kidini, ni muwakilishi wa bunge. Anaapa mbele ya bunge si sheikh wala mchungajiHili swali nalielekeza Duniani Kote ambako Utaratibu wa kuapisha Wabunge kwa kutumia Vitabu Vitakatifu Vya Mitume wa Mungu wa Mbinguni unatumika
Kwa upande wa Rais haina shida kwa sababu wanakuwepo Jaji Mkuu na Mufti au Askofu
Niko pale nasubiri Elimu
Mungu wa Mbinguni awabariki π
Haapi kwa spika wa Bunge. Anaapa kwa nafsi yake na Mungu wake kwa imani yake, wale ni mashahidi wa kiapo chake na spika ni shahidi mkuu
Ukisikia mtu anasema kuwa yeye ni mfanyakazi wa serikali ujue either ni mwalimu, polisi au suma-jktHili swali nalielekeza Duniani Kote ambako Utaratibu wa kuapisha Wabunge kwa kutumia Vitabu Vitakatifu Vya Mitume wa Mungu wa Mbinguni unatumika
Kwa upande wa Rais haina shida kwa sababu wanakuwepo Jaji Mkuu na Mufti au Askofu
Niko pale nasubiri Elimu
Mungu wa Mbinguni awabariki π
Kwa nini wateuliwa wasiape kwa kushika bendera ya Taifa na Jaji na Rais wakae pembeni kama mashuhuda tu?Hili swali nalielekeza Duniani kote ambako Utaratibu wa kuapisha Wabunge kwa kutumia Vitabu Vitakatifu Vya Mitume wa Mungu wa Mbinguni unatumika.
Kwa upande wa Rais haina shida kwa sababu wanakuwepo Jaji Mkuu na Mufti au Askofu.
Niko pale nasubiri Elimu.
Mungu wa Mbinguni awabariki.π
Dini ya spika ndio kitu gani? Mambo mengine ni upumbavu hata kujadili.Hili swali nalielekeza Duniani kote ambako Utaratibu wa kuapisha Wabunge kwa kutumia Vitabu Vitakatifu Vya Mitume wa Mungu wa Mbinguni unatumika.
Kwa upande wa Rais haina shida kwa sababu wanakuwepo Jaji Mkuu na Mufti au Askofu.
Niko pale nasubiri Elimu.
Mungu wa Mbinguni awabariki.π
Viapo vinashababisha hatuendeleiHili swali nalielekeza Duniani kote ambako Utaratibu wa kuapisha Wabunge kwa kutumia Vitabu Vitakatifu Vya Mitume wa Mungu wa Mbinguni unatumika.
Kwa upande wa Rais haina shida kwa sababu wanakuwepo Jaji Mkuu na Mufti au Askofu.
Niko pale nasubiri Elimu.
Mungu wa Mbinguni awabariki.π
Sahihi Kabisa πWabunge wenyewe kwanza nao ni mafisadi na majizi tu kama majizi mengine, hata kuapa kwa kutumia vitabu vitakatifu vya dini zao ni kuvinajisi tu hivyo vitabu. Wanamdhihaki Mungu, siku ya mwisho watachomwa motoni.
Ni afadhali wangeapa kwa kutumia katiba ya nchi tu.
Kiapo (Oath) ni Tamko au Ahadi kwamba hicho unachotamka ndicho utakachofanya au kutekeleza na Utawajibika endapo utafanya kinyume.Kwa nini wateuliwa wasiape kwa kushika bendera ya Taifa na Jaji na Rais wakae pembeni kama mashuhuda tu?
Kuapa kwa kushika Biblia au Quran ni unafiki tu. Au kuapa mbele ya Rais ambaye pia ni mtumishi wa Serikali... Wapi na wapi? π³
Kwa kiasi fulani uko sahihi kulingana na mfumo uliowekwa, ambao tunapaswa kuuhoji. Tatizo la matumizi mabaya ya mamlaka kuchomoza zaidi kwenye hizi tawala zetu za kiafrika. Mamlaka hulevya na kufikia kutukuzwa mfano wa kuwa Mungumtu.Kiapo (Oath) ni Tamko au Ahadi kwamba hicho unachotamka ndicho utakachofanya au kutekeleza na Utawajibika endapo utafanya kinyume.
Kwa mantiki hiyo anayetamkiwa (anayeahidiwa) ni sharti awe anaweza kusikia au awe ni Nafsi Hai. Bendera sio Nafasi hai wala haiwezi kusikia hiloTamko au hiyo Ahadi inayotolewa. (I stand to be corrected).
Ni kweli ila sasa inakuja wanaopitisha Taratibu hizo ndo hao hao wanaotaka ziwanufaishe.Kwa kiasi fulani uko sahihi kulingana na mfumo uliowekwa, ambao tunapaswa kuuhoji. Tatizo la matumizi mabaya ya mamlaka kuchomoza zaidi kwenye hizi tawala zetu za kiafrika. Mamlaka hulevya na kufikia kutukuzwa mfano wa kuwa Mungumtu.
Bungeni kuna utaratibu wa kutunza kila neno linalotamkwa.... Hansard ndio neno linalotumika kuelezea utaratibu huo, kwa nini isiwe hivyo hata Serikalini?