johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Imekuwa ni kawaida Wachungaji kutafsiri Neno la Mungu ( Injili) Wakati wa mahuburi
Lakini Biblia imeandikwa kwa Lugha inayoeleweka
Mfano Yesu baada ya kutembezwa umbali mrefu na baadaye kusulubiwa msalabani alisema " naona Kiu"
Sasa hii kauli ya " naona Kiu" imekuwa na tafsiri nyingi sana
Je, haikuwa Kiu ya maji?
Nawatakia Dominica Njema!
Lakini Biblia imeandikwa kwa Lugha inayoeleweka
Mfano Yesu baada ya kutembezwa umbali mrefu na baadaye kusulubiwa msalabani alisema " naona Kiu"
Sasa hii kauli ya " naona Kiu" imekuwa na tafsiri nyingi sana
Je, haikuwa Kiu ya maji?
Nawatakia Dominica Njema!