2017 No Name
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 172
- 133
Siku chache zilizopita nilipewa asali lita tano kama zawadi. Baada ya kugawa baadhi kwa jirani zangu nikabakiwa na lita ka 3. Niko pekeangu so nikawaza ntawezaje kuitumia hii asali iishe. Nikagundua kua nnaweza kuacha kuweka sukari kwenye uji nikaweka asali. Baada ya kujaribu nikaona uji una ladha nzuri tu. Ni uji wa lishe, nilikua naweka blueband na sukari now naweka blueband na asali.
Moja ya jirani zangu baada ya kumwambia huu ulaji akanambia NIACHE kuweka asali kwenye vitu vilivyopikwa, ina madhara kiafya. Kwa madai yake asali ikipata moto baadhi ya vitu vilivyomo katika asali vinageuka vinakua sumu (inaitwa HMF nini nini sijui) and pia baadhi ya vitu vinatengeneza aina ya gundi ambayo ikiingia tumboni haiwezi kuyeyushwa na mfumo wa chakula hivyo inaganda kwenye kuta za tumbo. Na hii gundi ikishajitengeneza hamna jinsi ya kuitoa na inasababisha matatizo ya tumbo.
Nimejaribu kugoogle ila sjaona sehemu yoyote waliyoandika kuhusu hii mada kwa kiswahili. So naomba mnisaidie wataalamu wa asali, Je,kula asali iliyopikwa pamoja na chukula au kuchanganywa na chakula chamoto kuna madhara???
Moja ya jirani zangu baada ya kumwambia huu ulaji akanambia NIACHE kuweka asali kwenye vitu vilivyopikwa, ina madhara kiafya. Kwa madai yake asali ikipata moto baadhi ya vitu vilivyomo katika asali vinageuka vinakua sumu (inaitwa HMF nini nini sijui) and pia baadhi ya vitu vinatengeneza aina ya gundi ambayo ikiingia tumboni haiwezi kuyeyushwa na mfumo wa chakula hivyo inaganda kwenye kuta za tumbo. Na hii gundi ikishajitengeneza hamna jinsi ya kuitoa na inasababisha matatizo ya tumbo.
Nimejaribu kugoogle ila sjaona sehemu yoyote waliyoandika kuhusu hii mada kwa kiswahili. So naomba mnisaidie wataalamu wa asali, Je,kula asali iliyopikwa pamoja na chukula au kuchanganywa na chakula chamoto kuna madhara???