strategist
Member
- Oct 27, 2014
- 42
- 29
Naomba ufafanuzi ili nisije kuingia matatani , Kimsingi naelekea CRDB kulipia gari kutoka kwa hawa SBT japan, Lakini najiuliza mbona wamenitumia commercial invoice badala ya Proforma invoice. Kuna mtu yoyote ashalipia gari kutumia hiyo commmercial invoice ?
Je, hawa jamaa ni waaminifu, maana hili ndo gari la kwanza naagiza mtandaoni
Je, hawa jamaa ni waaminifu, maana hili ndo gari la kwanza naagiza mtandaoni