Je, ni salama kunyoa nywele kwa kutumia magic shaving powder?

Je, ni salama kunyoa nywele kwa kutumia magic shaving powder?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nimetokea kuwa mpenzi sana wa kupiga dongo...kupiga kipara..kunyoa kipara. Na hii ilitokea baada ya kugundua kuwa kuna vitu flani vya kijinga ila vinavutia sana na sana sana upande wa akina dada. Siku moja tu nilienda kunyoa fundi akanikosea kidogo nikamwambia basi isiwe shida, kichwa kizima kikwanguliwe.

Kesho yake nilipofika job ilikuwa wow! Kila mtu anasema xxxx today you look so sexy and very shababy. Basi ikawa tu wadada wanapita na kukishika kichwa changu tena walivyo wajinga wakawa wanaenda kusimuliana then anakuja mtu anajifanya kuniamkia na kushika kichwa akipapasa papasa. Mmoja akadiriki kusema kuwa mpaka amejisikia nyege maana amepata hisia kali sana kwa kushika kichwa changu.

Nikagundua kumbe hii style nayo ni bomba basi nikawa mi ni mtu wa kupiga para tu, dongo kwa kwenda mbele. Tatizo kubwa ni kuwa kila baada ya siku mbili nywele zaanza ota nami nataka liwe para sugu.

Swali ni je, hii dawa MAGIC SHAVING POWDER ina madhara yoyote kwa ngozi? Lengo langu ninunue niwe nayo najishave tu mwenyewe. Na je, nikitumia kushavia pia sehemu za siri inakuaje? Nataka niwe na kipara kila sehemu ya mwili ambako kuna nywele zisiwepo.
 
Wenzio huwa hatuangaiki....
images.jpeg
 
ungetumia lugha ya kistaarabu tu mbona ujumbe ungefika na wewe ungeonekana ni mstaarabu na msomi? kutumia lugha za kutweza hakukufanyi nawe ukaonekana ni mtu ndugu yangu Pohamba . "ada ya mja hunena uungwana ni vitendo"
Kuna mijitu mitomaso Kweli Kweli

Linataka kujiandalia maradhi ya Kansa ya kichwa ili tu kuvutia Mademu
 
Mwaka wa pili huu ninanyoa kipara kila mwisho wa wiki na sijawahi kupewa hata salamu na mdada. Mi nadhani fedha ndio inayokufanya upendwe na upewe salamu, kipara hata ukanyoa kwa gae la chupa kama huna hela ni sifuri tu.
 
Utakuwa huna mvuto tu ndugu yangu.... Hebu nichek mimi kwenye avatar yangu navyotoka kibabe.... Mademu wananijia kwa nyuma "gudume tunakuzimia" jaribu kuwa soap soap... Si unajua tena... Si suala la kunyoa tu para... Unatakiwa uwe smart na uwe na mvuto....

Mwaka wa pili huu ninanyoa kipara kila mwisho wa wiki na sijawahi kupewa hata salamu na mdada. Mi nadhani fedha ndio inayokufanya upendwe na upewe salamu, kipara hata ukanyoa kwa gae la chupa kama huna hela ni sifuri tu.
 
Utakuwa huna mvuto tu ndugu yangu.... Hebu nichek mimi kwenye avatar yangu navyotoka kibabe.... Mademu wananijia kwa nyuma "gudume tunakuzimia" jaribu kuwa soap soap... Si unajua tena... Si suala la kunyoa tu para... Unatakiwa uwe smart na uwe na mvuto....
HAhahaha mkuu GuDume mi sura yangu ngumu sana kaka, hata nivae nini na kuwa u smart wa aina gani. nikipishana nao njiani wanakimbiza nyuso kama wamekutana na mzuka
 
Ha ha ha.... Hapo usiwalaumu wazazi wako. Jitahidi ujipige soap soap basi tuwasiliane ili angalau Nawe ujifunze mawili matatu ili wasiwe wanakulia tu pesa zako...

HAhahaha mkuu GuDume mi sura yangu ngumu sana kaka, hata nivae nini na kuwa u smart wa aina gani. nikipishana nao njiani wanakimbiza nyuso kama wamekutana na mzuka
 
Back
Top Bottom