Mkuu inategemea na mazingira aliyelelewa/aliyokulia Kuna jamaa anaweka mpaka what's up status za katuni Ila jamaa ni wakishua sana na ameishi Sana nje mpaka wazazi walipo staafu kazi na kurejea tz .
Kila mtu afanye vile inavyompendeza....kuna watu wanaamini kuangalia movie yoyote ni ukosefu wa kazi, wapo wanaoamini kuanzisha uzi ni ukosefu wa kazi...utaacha kufanya yote kwa sababu ya binadamu?
Mkuu nisikufiche Nina miaka 37 sasa lakini kila siku nakaa na watoto wangu watatu sebuleni tunaangalia katuni na sioni ajabu kama kitu kilichonikuza toka udogoni kwangu na kunipa furaha eti uzeeni niache nakueleza tu nasubiri mpaka wajukuu nitakaa nao tutaangalia katuni.