MAONI:
Kwa mimi naona wanatuaribia wanetu kwani sio kama walivyokuwa mwanzo.Sasa ni wazazi na kuchanganywa na wanafunzi inakuwa sio sawa kabisa.
Lakini hawa wanafunzi unaokataa wasichanganyike na wazazi...si wanaishi na wazazi majumbani mwao? Kuna wazazi kilamahali...tuache wapate elimu,ila tujiulize tunawafanya nini wanaowapa mimba hawa watu,maana ni kuharibiana mifumo ya maisha.