Natarajia wakuu mko salama kabisa, Je ni sehemu gani hapa kwetu Tanzania ambapo kunaliwa karanga pori kwa wingi au wapi panaweza limwa macadamia nuts kwa wingi, yaani karanga pori, natangulia shukrani.
Natarajia wakuu mko salama kabisa, Je ni sehemu gani hapa kwetu Tanzania ambapo kunaliwa karanga pori kwa wingi au wapi panaweza limwa macadamia nuts kwa wingi, yaani karanga pori, natangulia shukrani.
Navyojua, mim kwasasa hapa kwetu Tanzania shamba la Namwai, lilipo siha huko Kilimanjaro ndilo pekee kubwa kwa Sasa, ingawaje maeneo ya Iringa kunamiti hyo
Navyojua, mim kwasasa hapa kwetu Tanzania shamba la Namwai, lilipo siha huko Kilimanjaro ndilo pekee kubwa kwa Sasa, ingawaje maeneo ya Iringa kunamiti hyo